Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 1,015
- 2,493
Nimesoma bandiko la mtu humu ndani akitoa wito kwa mfungwa Ole Sabaya akagombee Ubunge Jimbo la Hai.
Nimweka sawa mtoa wito na wengine wanaofikiria hivyo kwamba Sabaya hakuachiwa huru, hapana. Sabaya amekutwa na hatia na amehurumiwa kwenda jela mwaka mmoja isipokuwa ni kifungo cha nje!
Sheria yetu ya Uchaguzi inakataza mtu yeyote aliyewahi kushitakiwa na kuhukumiwa kwenda jela kwa kosa lolote la jinai ndani ya miaka mitatu iliyopita anakosa sifa ya kugombea iwe ni Serikali za Mitaa (2024) au Udiwani, Ubunge na Urais (2025). Kwa mantiki hiyo Sabaya atakosa sifa hizo. Mwacheni atumikie kifungo chake.
Nimweka sawa mtoa wito na wengine wanaofikiria hivyo kwamba Sabaya hakuachiwa huru, hapana. Sabaya amekutwa na hatia na amehurumiwa kwenda jela mwaka mmoja isipokuwa ni kifungo cha nje!
Sheria yetu ya Uchaguzi inakataza mtu yeyote aliyewahi kushitakiwa na kuhukumiwa kwenda jela kwa kosa lolote la jinai ndani ya miaka mitatu iliyopita anakosa sifa ya kugombea iwe ni Serikali za Mitaa (2024) au Udiwani, Ubunge na Urais (2025). Kwa mantiki hiyo Sabaya atakosa sifa hizo. Mwacheni atumikie kifungo chake.