Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 1,015
- 2,493
- Thread starter
- #21
Sikuiona hiyo Thd kaka/dada.Kuna watu mnapenda sana kuanzisha Thd aisee,
Sasa si ungemjibu tu hili jibu lako kwenye thd yake huyo aliyetoa wito kwa Sabaya kugombea bunge?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuiona hiyo Thd kaka/dada.Kuna watu mnapenda sana kuanzisha Thd aisee,
Sasa si ungemjibu tu hili jibu lako kwenye thd yake huyo aliyetoa wito kwa Sabaya kugombea bunge?
Maana hata nae kakutwa na hatia ila hakusomewa hukumuMbowe atagombea?
Hawajui kwamba huyo Sabaya alikuwa anawatesa na kuwadhurumu wafanyabiashara wa kisomali pale Arusha Mjini ambao ni nduguze na Kinana!!Hata kama angegombea nani angempitisha,?
labda Bashite awe mwenyekiti wa hicho chama ila syo Mama na Kinana
Hukuiona? Hebu soma paragraph yako ya kwanza kabisa kwenye hii thd yako,Sikuiona hiyo Thd kaka/dada.
Nani atampitisha kwanza? Akili unatoa wapi?Nisaidie ufafanuzi kidogo: Amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja, si atamaliza kifungo April 24? Je! November 24 na November 25 atakuwa Bado na kizuizi Cha kugombea?
Unachanganya madesa. Havihusiani.Hukuiona? Hebu soma paragraph yako ya kwanza kabisa kwenye hii thd yako,
"Nimesoma bandiko la mtu humu ndani akitoa wito kwa mfungwa Ole Sabaya akagombee Ubunge Jimbo la Hai"
LABDA AKAGOMBEE URAIS WA YANGANimesoma bandiko la mtu humu ndani akitoa wito kwa mfungwa Ole Sabaya akagombee Ubunge Jimbo la Hai.
Nimweka sawa mtoa wito na wengine wanaofikiria hivyo kwamba Sabaya hakuachiwa huru, hapana. Sabaya amekutwa na hatia na amehurumiwa kwenda jela mwaka mmoja isipokuwa ni kifungo cha nje!
Sheria yetu ya Uchaguzi inakataza mtu yeyote aliyewahi kushitakiwa na kuhukumiwa kwenda jela kwa kosa lolote la jinai ndani ya miaka mitatu iliyopita anakosa sifa ya kugombea iwe ni Serikali za Mitaa (2024) au Udiwani, Ubunge na Urais (2025). Kwa mantiki hiyo Sabaya atakosa sifa hizo. Mwacheni atumikie kifungo chake.
Mbowe hakukutwa na hatia, alikuwa na kesi ya kujibu.
Ngoja nikuache tu.Unachanganya madesa. Havihusiani.
Afadhali limekosa sifa.Sheria inamtakbua mtu aliyehukumiwa kifungo za zaidi ya miezi 6 anakosa sifa ya kugombea, kimsingi Sabaya amekiri makosa kwakuwa haoni kama Serikali inampango wa kumaliza kes, DPP alifanya kila analoweza ili Sabaya akose sifa za kuwa mtumishi wa umma, kiufupi Serikali haikuwa na ushahidi wa kutosha wa kufunga Sabaya ila iliona akae tu ndani na Sabaya alijitahidi sana kuvumilia ili abaki na sifa yake ya kuwa mtumishi wa umma lakini mwisho wa siku ameonabhakuna dalili youote ya serikali kupeleka mashahidi.
Nimecheka kwa sauti sana mkuu,hahahaha!.Watu mna hasira na humu mtu..Afadhali limekosa sifa.
Nimesoma bandiko la mtu humu ndani akitoa wito kwa mfungwa Ole Sabaya akagombee Ubunge Jimbo la Hai.
Nimweka sawa mtoa wito na wengine wanaofikiria hivyo kwamba Sabaya hakuachiwa huru, hapana. Sabaya amekutwa na hatia na amehurumiwa kwenda jela mwaka mmoja isipokuwa ni kifungo cha nje!
Sheria yetu ya Uchaguzi inakataza mtu yeyote aliyewahi kushitakiwa na kuhukumiwa kwenda jela kwa kosa lolote la jinai ndani ya miaka mitatu iliyopita anakosa sifa ya kugombea iwe ni Serikali za Mitaa (2024) au Udiwani, Ubunge na Urais (2025). Kwa mantiki hiyo Sabaya atakosa sifa hizo. Mwacheni atumikie kifungo chake.
hoja siyo kugombea bali nani atamchagua tena huyo muhuni,hata serikali ikimweka kwa nguvu wananchi lazima wamtimue kwa maweNimesoma bandiko la mtu humu ndani akitoa wito kwa mfungwa Ole Sabaya akagombee Ubunge Jimbo la Hai.
Nimweka sawa mtoa wito na wengine wanaofikiria hivyo kwamba Sabaya hakuachiwa huru, hapana. Sabaya amekutwa na hatia na amehurumiwa kwenda jela mwaka mmoja isipokuwa ni kifungo cha nje!
Sheria yetu ya Uchaguzi inakataza mtu yeyote aliyewahi kushitakiwa na kuhukumiwa kwenda jela kwa kosa lolote la jinai ndani ya miaka mitatu iliyopita anakosa sifa ya kugombea iwe ni Serikali za Mitaa (2024) au Udiwani, Ubunge na Urais (2025). Kwa mantiki hiyo Sabaya atakosa sifa hizo. Mwacheni atumikie kifungo chake.