Lengai Ole Sabaya hawezi kugombea 2024 wala 2025, sababu hii hapa

Lengai Ole Sabaya hawezi kugombea 2024 wala 2025, sababu hii hapa

Hata kama angegombea nani angempitisha,?
labda Bashite awe mwenyekiti wa hicho chama ila syo Mama na Kinana
Hawajui kwamba huyo Sabaya alikuwa anawatesa na kuwadhurumu wafanyabiashara wa kisomali pale Arusha Mjini ambao ni nduguze na Kinana!!
 
Kama sabaya ataendelea na mambo ya siasa basi ni sikio la kufa
 
Nisaidie ufafanuzi kidogo: Amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja, si atamaliza kifungo April 24? Je! November 24 na November 25 atakuwa Bado na kizuizi Cha kugombea?
Nani atampitisha kwanza? Akili unatoa wapi?
 
Hukuiona? Hebu soma paragraph yako ya kwanza kabisa kwenye hii thd yako,

"Nimesoma bandiko la mtu humu ndani akitoa wito kwa mfungwa Ole Sabaya akagombee Ubunge Jimbo la Hai"
Unachanganya madesa. Havihusiani.
 
Nimesoma bandiko la mtu humu ndani akitoa wito kwa mfungwa Ole Sabaya akagombee Ubunge Jimbo la Hai.

Nimweka sawa mtoa wito na wengine wanaofikiria hivyo kwamba Sabaya hakuachiwa huru, hapana. Sabaya amekutwa na hatia na amehurumiwa kwenda jela mwaka mmoja isipokuwa ni kifungo cha nje!

Sheria yetu ya Uchaguzi inakataza mtu yeyote aliyewahi kushitakiwa na kuhukumiwa kwenda jela kwa kosa lolote la jinai ndani ya miaka mitatu iliyopita anakosa sifa ya kugombea iwe ni Serikali za Mitaa (2024) au Udiwani, Ubunge na Urais (2025). Kwa mantiki hiyo Sabaya atakosa sifa hizo. Mwacheni atumikie kifungo chake.
LABDA AKAGOMBEE URAIS WA YANGA
 
Kugombea sawa, ula uteuzi wowote anaweza kuulamba - sisi tunataka aje mkoa wa DSM kama Mkuu wa Mkoa.
 
Sheria inamtakbua mtu aliyehukumiwa kifungo za zaidi ya miezi 6 anakosa sifa ya kugombea, kimsingi Sabaya amekiri makosa kwakuwa haoni kama Serikali inampango wa kumaliza kes, DPP alifanya kila analoweza ili Sabaya akose sifa za kuwa mtumishi wa umma, kiufupi Serikali haikuwa na ushahidi wa kutosha wa kufunga Sabaya ila iliona akae tu ndani na Sabaya alijitahidi sana kuvumilia ili abaki na sifa yake ya kuwa mtumishi wa umma lakini mwisho wa siku ameonabhakuna dalili youote ya serikali kupeleka mashahidi.
Afadhali limekosa sifa.
 
Nimesoma bandiko la mtu humu ndani akitoa wito kwa mfungwa Ole Sabaya akagombee Ubunge Jimbo la Hai.

Nimweka sawa mtoa wito na wengine wanaofikiria hivyo kwamba Sabaya hakuachiwa huru, hapana. Sabaya amekutwa na hatia na amehurumiwa kwenda jela mwaka mmoja isipokuwa ni kifungo cha nje!

Sheria yetu ya Uchaguzi inakataza mtu yeyote aliyewahi kushitakiwa na kuhukumiwa kwenda jela kwa kosa lolote la jinai ndani ya miaka mitatu iliyopita anakosa sifa ya kugombea iwe ni Serikali za Mitaa (2024) au Udiwani, Ubunge na Urais (2025). Kwa mantiki hiyo Sabaya atakosa sifa hizo. Mwacheni atumikie kifungo chake.

Kuwa mwanasiasa sio lazima ugombee
Wapo wengi nyuma ya pazia na hao ndio wanaofanya mambo yaende
 
Nimesoma bandiko la mtu humu ndani akitoa wito kwa mfungwa Ole Sabaya akagombee Ubunge Jimbo la Hai.

Nimweka sawa mtoa wito na wengine wanaofikiria hivyo kwamba Sabaya hakuachiwa huru, hapana. Sabaya amekutwa na hatia na amehurumiwa kwenda jela mwaka mmoja isipokuwa ni kifungo cha nje!

Sheria yetu ya Uchaguzi inakataza mtu yeyote aliyewahi kushitakiwa na kuhukumiwa kwenda jela kwa kosa lolote la jinai ndani ya miaka mitatu iliyopita anakosa sifa ya kugombea iwe ni Serikali za Mitaa (2024) au Udiwani, Ubunge na Urais (2025). Kwa mantiki hiyo Sabaya atakosa sifa hizo. Mwacheni atumikie kifungo chake.
hoja siyo kugombea bali nani atamchagua tena huyo muhuni,hata serikali ikimweka kwa nguvu wananchi lazima wamtimue kwa mawe
 
Back
Top Bottom