Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 1,015
- 2,493
Sio siasa wala panya ni suala la kisheria zaidi. Mwacheni atumikie kifungo chake Kwa amani.Sabaya anaogopeka kwenye siasa za bongo!! Panya na Nyumbu wote mmetoka mafichoni
Mbowe atagombea?Sio siasa wala panya ni suala la kisheria zaidi. Mwacheni atumikie kifungo chake Kwa amani.
Hata kama angegombea nani angempitisha,?Nimesoma bandiko la mtu humu ndani akitoa wito kwa mfungwa Ole Sabaya akagombee Ubunge Jimbo la Hai.
Nimweka sawa mtoa wito na wengine wanaofikiria hivyo kwamba Sabaya hakuachiwa huru, hapana. Sabaya amekutwa na hatia na amehurumiwa kwenda jela mwaka mmoja isipokuwa ni kifungo cha nje!
Sheria yetu ya Uchaguzi inakataza mtu yeyote aliyewahi kushitakiwa na kuhukumiwa kwenda jela kwa kosa lolote la jinai ndani ya miaka mitatu iliyopita anakosa sifa ya kugombea iwe ni Serikali za Mitaa (2024) au Udiwani, Ubunge na Urais (2025). Kwa mantiki hiyo Sabaya atakosa sifa hizo. Mwacheni atumikie kifungo chake.
Sabaya ameachiwa huru, courtesy of plea bargain.Sio siasa wala panya ni suala la kisheria zaidi. Mwacheni atumikie kifungo chake Kwa amani.
Sheria inamtakbua mtu aliyehukumiwa kifungo za zaidi ya miezi 6 anakosa sifa ya kugombea, kimsingi Sabaya amekiri makosa kwakuwa haoni kama Serikali inampango wa kumaliza kes, DPP alifanya kila analoweza ili Sabaya akose sifa za kuwa mtumishi wa umma, kiufupi Serikali haikuwa na ushahidi wa kutosha wa kufunga Sabaya ila iliona akae tu ndani na Sabaya alijitahidi sana kuvumilia ili abaki na sifa yake ya kuwa mtumishi wa umma lakini mwisho wa siku ameonabhakuna dalili youote ya serikali kupeleka mashahidi.Nimesoma bandiko la mtu humu ndani akitoa wito kwa mfungwa Ole Sabaya akagombee Ubunge Jimbo la Hai.
Nimweka sawa mtoa wito na wengine wanaofikiria hivyo kwamba Sabaya hakuachiwa huru, hapana. Sabaya amekutwa na hatia na amehurumiwa kwenda jela mwaka mmoja isipokuwa ni kifungo cha nje!
Sheria yetu ya Uchaguzi inakataza mtu yeyote aliyewahi kushitakiwa na kuhukumiwa kwenda jela kwa kosa lolote la jinai ndani ya miaka mitatu iliyopita anakosa sifa ya kugombea iwe ni Serikali za Mitaa (2024) au Udiwani, Ubunge na Urais (2025). Kwa mantiki hiyo Sabaya atakosa sifa hizo. Mwacheni atumikie kifungo chake.
Nisaidie ufafanuzi kidogo: Amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja, si atamaliza kifungo April 24? Je! November 24 na November 25 atakuwa Bado na kizuizi Cha kugombea?Nimesoma bandiko la mtu humu ndani akitoa wito kwa mfungwa Ole Sabaya akagombee Ubunge Jimbo la Hai.
Nimweka sawa mtoa wito na wengine wanaofikiria hivyo kwamba Sabaya hakuachiwa huru, hapana. Sabaya amekutwa na hatia na amehurumiwa kwenda jela mwaka mmoja isipokuwa ni kifungo cha nje!
Sheria yetu ya Uchaguzi inakataza mtu yeyote aliyewahi kushitakiwa na kuhukumiwa kwenda jela kwa kosa lolote la jinai ndani ya miaka mitatu iliyopita anakosa sifa ya kugombea iwe ni Serikali za Mitaa (2024) au Udiwani, Ubunge na Urais (2025). Kwa mantiki hiyo Sabaya atakosa sifa hizo. Mwacheni atumikie kifungo chake.
Huna akiliNimesoma bandiko la mtu humu ndani akitoa wito kwa mfungwa Ole Sabaya akagombee Ubunge Jimbo la Hai.
Nimweka sawa mtoa wito na wengine wanaofikiria hivyo kwamba Sabaya hakuachiwa huru, hapana. Sabaya amekutwa na hatia na amehurumiwa kwenda jela mwaka mmoja isipokuwa ni kifungo cha nje!
Sheria yetu ya Uchaguzi inakataza mtu yeyote aliyewahi kushitakiwa na kuhukumiwa kwenda jela kwa kosa lolote la jinai ndani ya miaka mitatu iliyopita anakosa sifa ya kugombea iwe ni Serikali za Mitaa (2024) au Udiwani, Ubunge na Urais (2025). Kwa mantiki hiyo Sabaya atakosa sifa hizo. Mwacheni atumikie kifungo chake.
Mlisema ataozea jela, kiko wapi sasaWoote wale wa sampuli ya Sabaya hawawezi gombea tena na LAANA ya Mwenyezimungu itawarudia SOONER OR LATER
Hana akili huyoNisaidie ufafanuzi kidogo: Amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja, si atamaliza kifungo April 24? Je! November 24 na November 25 atakuwa Bado na kizuizi Cha kugombea?
Good question! Sheria inasema, "hajakutwa na hatia ya jinai ndani ya miaka 3 nyuma." Kwa maneno mepesi ni kwamba baada ya kumaliza kifungo umalize miaka 3 na siku moja + hapo unakuwa na sifa.Nisaidie ufafanuzi kidogo: Amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja, si atamaliza kifungo April 24? Je! November 24 na November 25 atakuwa Bado na kizuizi Cha kugombea?
Kugombea au kutogombea Kwa mtu kama Sabayau kunaleta manufaa Gani Kwa mwananchi?Nimesoma bandiko la mtu humu ndani akitoa wito kwa mfungwa Ole Sabaya akagombee Ubunge Jimbo la Hai.
Nimweka sawa mtoa wito na wengine wanaofikiria hivyo kwamba Sabaya hakuachiwa huru, hapana. Sabaya amekutwa na hatia na amehurumiwa kwenda jela mwaka mmoja isipokuwa ni kifungo cha nje!
Sheria yetu ya Uchaguzi inakataza mtu yeyote aliyewahi kushitakiwa na kuhukumiwa kwenda jela kwa kosa lolote la jinai ndani ya miaka mitatu iliyopita anakosa sifa ya kugombea iwe ni Serikali za Mitaa (2024) au Udiwani, Ubunge na Urais (2025). Kwa mantiki hiyo Sabaya atakosa sifa hizo. Mwacheni atumikie kifungo chake.
Kwanza anakubalika wap? Tuanzie hapo! Hakuna asiejua wengi walipatw mbeleko toka kwa JPMNimesoma bandiko la mtu humu ndani akitoa wito kwa mfungwa Ole Sabaya akagombee Ubunge Jimbo la Hai.
Nimweka sawa mtoa wito na wengine wanaofikiria hivyo kwamba Sabaya hakuachiwa huru, hapana. Sabaya amekutwa na hatia na amehurumiwa kwenda jela mwaka mmoja isipokuwa ni kifungo cha nje!
Sheria yetu ya Uchaguzi inakataza mtu yeyote aliyewahi kushitakiwa na kuhukumiwa kwenda jela kwa kosa lolote la jinai ndani ya miaka mitatu iliyopita anakosa sifa ya kugombea iwe ni Serikali za Mitaa (2024) au Udiwani, Ubunge na Urais (2025). Kwa mantiki hiyo Sabaya atakosa sifa hizo. Mwacheni atumikie kifungo chake.
Kuna watu mnapenda sana kuanzisha Thd aisee,Nimesoma bandiko la mtu humu ndani akitoa wito kwa mfungwa Ole Sabaya akagombee Ubunge Jimbo la Hai.
Nimweka sawa mtoa wito na wengine wanaofikiria hivyo kwamba Sabaya hakuachiwa huru, hapana. Sabaya amekutwa na hatia na amehurumiwa kwenda jela mwaka mmoja isipokuwa ni kifungo cha nje!
Sheria yetu ya Uchaguzi inakataza mtu yeyote aliyewahi kushitakiwa na kuhukumiwa kwenda jela kwa kosa lolote la jinai ndani ya miaka mitatu iliyopita anakosa sifa ya kugombea iwe ni Serikali za Mitaa (2024) au Udiwani, Ubunge na Urais (2025). Kwa mantiki hiyo Sabaya atakosa sifa hizo. Mwacheni atumikie kifungo chake.