Wewe si ulikua unasema hafungwi.unaota ndoto hapo kijijini kwenu. Nenda sasa ukamsaidieDuh.....siku zinaenda kasi sana!
Goli limehamishwaje?Mmeanza kuhamisha magoli ?
Nasikia hata mshua wake alikuwa mshenzi Kama sabayaUtoto ulikuwa unamsumbua, they were and are still young to hold such positions. Kama ingelikuwa siyo kuwatesa/kuwa na kuwaibia watu, I would pardon him due to his young age!
Unaogopa viboko mkuu?Na voboko juu🤭
Kiturilo asubiri kesi anayoshadadia aone inavyogeukia Kwa wale wa PGO. Na mwisho nao wale mvua za kuwatosha.Ugaidi upi? Ugaidi hewa? Huoni hakimu wa kwanza alijitoa? Hakimu wa sasa kaambiwa mahita kingai waliwafunga pingu saa 24 kila siku huku wakiwapiga kuwalazimisha wakubali ugaidi hewa ugaidi feki
Ilionekana wazi lazima afungwe ili ze Mbowe akichapwa miaka ionekane is fair !
Mahita rafiki yake mkubwa waliokuwa wakishirikiana kuwatesa chadema huko Kilimanjaro ameshikwa na simanzi kubwa na sasa yupo mbioni kusuka Mipango Sabaya atolewe jela akajifiche msumbiji
Maelezo tu clip iko wapi..?Mama anampa maelekezo kama boss wake sabaya anampandisha anamshusha kwa dharau sana
Hii ndio maana ya malipo hapa hapa duniani.Unagopa viboko mkuu?
Maumivu ya kushikiwa bunduki ni makali mno kuliko ya viboko.
Bunduki unapata psychological torture unahisi kifo chako kimewadia sekunde yeyote.
Sijapenda hukumu hii maana wasiwe wanajenga ngao ya kumfunga Mbowe na baadaye wam- pardon Sabaya na kumsamehe na kumpa cheo!
Hapa nimeshindwa kuconnect dots.. nipe maelezo mkuu.Ilionekana wazi lazima afungwe ili ze Mbowe akichapwa miaka ionekane is fair !
Mahakama imetenda haki ee?Hii ndio maana ya malipo hapa hapa duniani.