Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Hajaoa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukumu inapitishwa wakati Mama yuko ziarani Arusha na Kilimanjaro?
Huenda akabadili upepo!
Siasa ni mchezo wa kuigiza,Rudia tena kusema
Sijapenda hukumu hii maana wasiwe wanajenga ngao ya kumfunga Mbowe na baadaye wam- pardon Sabaya na kumsamehe na kumpa cheo!Hukumu ya kesi ya unyang'anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya inasomwa muda huu katika mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.
Akisoma maelezo ya awali Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, Odira Amworo amesema kati ya mashahidi 11 wa upande wa mashtaka waliotoa ushahidi wao, ambapo ushahidi wa watu 9 umeonekana una mashiko na ushahidi wa watu wawili umetupwa.
Hakimu Amworo amesema kuwa mahakama imejiridhisha kuwa siku ya tukio February 9 mwaka 2021 washtakiwa wote watatu walikua dukani kwa Saad na wote walishiriki kufanya unyang'anyi wa kutumia silaha, kabla ya kumpiga Saad na kumsabanishia majeraha, wakitaka wapewe TZS 100M au mfanyabiashara huyo apewe kesi ya uhujumu uchumi.
Hakimu anasema kwa mujibu wa kifungu cha 201 cha sheria ya makosa ya adhabu, mtu yeyote anayepatikana na hatia ya kutumia silaha kunyang'anya mali ya mtu mwingine, adhabu yake ni kifungo cha miaka 30 jela pamoja na viboko 12 au miaka 30 bila viboko.
Baada ya kusema hayo Sabaya alianguka na kudaiwa kuzimia, hali iliyofanya Hakimu kuahirisha kusoma hukumu hiyo kwa dakika 5. Baadae Sabaya alizinduka na hukumu ikaendelea kusomwa.
Kabla hajataja adhabu, Hakimu amewapa washtakiwa nafasi kujitetea kwa mara ya mwisho, ambapo Sabaya ameomba apunguziwe adhabu kwa sababu anaye mchumba ambaye ameshamtolea mahari na hivyo akihukumiwa miaka mingi atashindwa kumuoa.
Hukumu inaendelea kusomwa. Letz keep waiting.!View attachment 1975366
Wale waliovamiwa na kuporwa fedha zao wanajisikiaje? Muwe mnaangalia pande zote pumbavuuMiaka 30 jela? JPM huko alipo atakuwa anaumia sana vijana wake kutendewa hivi
Kwa kawaida miaka 30 unakaa nusu yake.34 + 30 = 64.
Hiyo inaitwa mwanakulitafuta mwana kulipata.Hatimaye amepigwa miaka 30👏👏👏👏👏
Safi sana huyu gaidi amepata alichokuwa akikitafuta
Sawa endelea kusubiriSiasa ni mchezo wa kuigiza,
Kumbuka stelingi hauwawi
Aisee KAZI kubwa. Utashangaa litajaa kama Mpira wa Simba naYanga. Vichwa vyetu tunavijua wenyewe.Nasikia DAB baada yakudhulumu watu Haki ya kuishi anawaza kufungua Kanisa
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Kwenda mataga wewe ndio maana mnafungwafungwa na kufakufa kwa ujinga wenu.Au sio? Kwahyo ww ni mahakama