Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Ana kesi za kutosha huko mahakamani, hukumu hii ikipita ajiandae kwa nyingine na nyingine na nyingine tena, nadhani CCM watafanya kamchezo kumkwepesha huyu mtu wao balaa linalomkaribia.
 
Sabaya atashinda, Sabaya akifungwa na Mbowe amefungwa maana Sabaya ni mbuzi wa kafara
 
Bado anakesi nyingine hivyo hawezi kuachiwa huru, japo hii kesi atatoboa mapema sn.
 
Siasa ni mchezo wa kuigiza kwani huonagi kila wanapokwenda wanasiasa kuna kuwa na ma camera ! Hata wakiwa ofisini kwenye kikao kuna kua na ma camera!

Hiyo ni tamthilia mkuu utakuja kustuka baadae sanaa
 
Watu kwa kujifariji hamjambo, hamna kesi hapo, alihifadhiwa kwa usalama wake mwenyewe dhidi ya shambulio la kigaidi…
Hilo litakuwa ajabu lingine la dunia!!kwani leo ndio uamuzi wa kuwa ana kesi au hana?au umekurupuka mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…