Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Si usubiri, kesi yenyewe Bado hata haijaanza, mbona unaconclude mapema?
Sabaya mbowe hakuteswa jela? Walinzi wa Sabaya walikaa na pingu saa 24 kila siku kama walinzi wa mbowe?
 
..CCM inajivunia kuwa na rasilimali watu.

..sasa imeshindwa vipi kumtafutia ahueni kada wake?

..Sabaya sio mtu wa kupewa hukumu mbaya-mbaya utadhani ni mpinzani nchi hii.

..CCM imetumia Sabaya na kumtupa kama kondom.
Laana ya marehemu Ruge imemtafuna baada ya kumbaka Nandi
 
..waliomtumia na kumtuma Sabaya walaaniwe.
Yeremia 17: 5-6

5 BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake. Na moyoni mwake amemwacha BWANA.

6 Maana atakuwa kama fukara nyikani,
Hataona yatakapotokea mema; Bali atakaa jangwani palipo ukame, Katika nchi ya chumvi isiyokaliwa na watu.
 
wote mnaofurahia msiombe siku moja ukaenda mahakamani na ujua kabisa ukweli huna kosa ila ukaenda na maji ...

duniani hakuna mahakama ni upumbavu mtupu hakuna cha mahakama wala nini ni ujinga + ujinga ...

sibirini ya Mbowe ndio mtajua hamjui
Watu inabidi wajiandae kisaikolojia maana yajayo hayafurahishi .....
 
Mtajua tuu subirini
Utasubiria sana lakini Tambua kesi ya mbowe ni kesi ya uonevu na mungu yupo atasimama imara
 
Bc kumbe kule mahakamani anaenda kufanya shopping
Anaenda kwa kesi ya kubambikiwa ni kesi ambayo wewe na mashetani wenzako mmembambikia lakini haifanani na ya Sabaya na mungu atatenda muujiza ushetani wenu utashindwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…