Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Baaada ya miezi/miaka kadhaa, utashangaa Mahakama kuu/ya rufaa imetengua hukumu yake kwa sababu ya bla bla gani sijui za hapa na pale zilizo kiukwa!

Dah! Ila Dogo naye alijisahau sana. Na hapo bado ana kesi nyingine ya uhujumu uchumi! Idugunde wapi ulipo mkuu! Pole sana. Hatimaye yametimia.
Hukumu imekaa kipambe tu. Hakimu anatafuta uteuzi.
 
Sabaya mwenyewe kakiri kutenda kosa kwa kua aliagizwa chini ya maelekezo ya Bwana yule. Alidai pia Mipango anajua. Kwaiyo Ni wazi jamaa ali-admit.
 
Aliyekuwa Dc wa Hai Ole Sabaya baada ya kuhukumiwa amewatoa wasiwasi wafuasi wake kwa kuwapa kauli ya kiroho , Amesema hivi , Nanukuu , MSIJALI MAANA MUNGU YUKO KAZINI , Mwisho wa kunukuu .

Chanzo : Mwananchi

Nachukua nafasi hii mimi binafsi kuipa pole sana familia ya Ole Sabaya kwa shida iliyotokea kutokana na hukumu aliyopewa kijana wao .
Labda yule mungu wake wa chato aliempa kiburi ndo yupo kazini
 
Aliyekuwa Dc wa Hai Ole Sabaya baada ya kuhukumiwa amewatoa wasiwasi wafuasi wake kwa kuwapa kauli ya kiroho , Amesema hivi , Nanukuu , MSIJALI MAANA MUNGU YUKO KAZINI , Mwisho wa kunukuu .

Chanzo : Mwananchi

Nachukua nafasi hii mimi binafsi kuipa pole sana familia ya Ole Sabaya kwa shida iliyotokea kutokana na hukumu aliyopewa kijana wao .
Hatuwezi kuitumia ile kauli ya Makonda kwa Lulu Dady is coming

Tuitumie kwa Sir-buyer
 
Sabaya ana hukumiwa kifungo cha miaka 15 jela. Ndivyo penal code inavyotaka kulingana na mashtaka aliyo shtakiwa nayo na ameshindwa kudhibitisha kuwa hakutenda hivyo.
Hakuna option ya fine wala mbadala mwingine labda akate rufaa ya mapitio upya.
Ni 30 mtaalam.
 
Back
Top Bottom