Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Mkuu Erythrocyte Mungu yupi huyo anayemtaja Sabaya. Huyo Mungu hakumjua wakati akitesa, Kuiba na kulawiti? Akanyee Debe huko. Ametutia DOA CCM.
 
Na siku Mbowe akila mvua uje ushangilie hivyohivyo
 
Mada ndefu sana ila hakuna anaeuliza picha ya mchumba wa sabaya View attachment 1975436View attachment 1975437
..hili Demu hakulipora Kwa MTU kweli? Maana jamaa limepora Sana mademu WA watu na kuwatia kwa mboro lake la kimasai...Sasa na lenyewe watalitia jela ipasavyo....miaka 30 likitoka limezeeka na kupinda mgongo kabisa...hata nguvu ya kutiana halitakua nayo...jamaa laana Sana hili...
 
Dooh
Hii ndiyo balaa lililojaa na nusu
 
Vipi na Wale uliowatesa Ulio waumiza na ulio waonea MUNGU YUPO WAPI?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…