Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Wengi wetu hakuna kitu tunajua, tupunguzeni ushabiki..hakuna hata mwenye ushahidi humu zaidi wote tunatoa hukumu kwa tulichosikia sio kushuhudia!😊😊..IKIWA UNAHISI WEWE HATA DIWANI AKIAMUA ANAWEZA KUKUPANGIA KESI & HUKUMU MAHAKAMANI..KAA KIMYA!!
 
hii kitu imekaa vibaya sana kwa gaidi wenu, mark my words
 
kuna watu wajinga sana PGO tu imewashinda
 
Watu kwa kujifariji hamjambo, hamna kesi hapo, alihifadhiwa kwa usalama wake mwenyewe dhidi ya shambulio la kigaidi…
Vipi mkuu, unasemaje kuhusu hukumu ya mahakama ya miaka 30 dhidi ya kesi ya unyang'anyi wa kutumia silaha iliyomuangukia Sabaya!!?? Bado wameamua kumhifadhi kwa miaka 30 dhidi ya gaidi!?? Viboko wakili amemuombea viondolewe, na ombi limekubalika.
 
Mkuu king kong 3 unajua hakimu amempunja Sir Mbaya kutokana na makosa yake ...idadi ya makosa aliyonayo hayaendani na aliyonayo....
Sir Mbaya Ni jambazi sugu kile kifungo Ni kidogo.....hakimtoshi
 
Kafanya nn Cha maana huyo muhuni mpuuzi mkubwa....Kwhy Jpm ndio katiba yetu ....ujinga Watz tutaacha lini
 
Toka nje uanze kuwahesabu utaelewa

Ukiona mwanamke anatoroka na mtoto wenu jitafakari
Sister alikua chombo balaa nlikutana nae Loliondo DC alikua mkali saana kenge yule[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hadi jina mwanangu nlimpa AARON lile Punda ntalisaka maana liliniambia kwao ni Wilaya ya Meru DC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…