Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Tutarajie miujiza na mazingaombwe kufanyika,sio ajabo kwa Tz
Sio tu Tanzania wa kwetu, hizo court of appeals zipo duniania kote, ndio haki yenyewe, huweza chelewesha hapa ikapatikana pale. Kikubwa tujifunze Patience.
 
Katiba yako inakataza mwanajeshi aliekufuzwa asijitafutie kazi /kapato?

Inakataza mtu binafsi asiwaajiri??

Hebu jitahid usifanane na user name yako basi , utafanya upuuzwe wakat una akili timamu tu
Mpaka anajiita hivyo ni kuwa anajijua Kabisa ni Mjinga
 
Kosa alilohukumiwa nalo halina adhabu ya kunyongwa.

CCM mmezoea kupindisha sheria kuwafurahisha nyinyi binafsi na wake zenu.

Unataka anyongwe kwa kosa ambalo halina adhabu ya kunyongwa ?
Mtanyooka tu vijana ccm mliokuwa nyuma ya huyo mccm mwenzenu ,jambazi .

ambo moja kumbukeni “MALIPO NI HAPA HAPA DUNIANI”. Umekumbuka na sabaya wako mlivyotumia polisi kuvuruga shamba la mbowe kwa kung'oa mazao shambani Kwame?“.

Imetimia mkiwamaliza wapinzani,mtaanza kutafunana nyie kwa nyie
 
Siasa za Bongo bhana usipokuwa makin mwisho wako lazima uwe mbaya.
Chamsingi ni kuongoza watu kwa mujibu wa kabuni taratibu na sheria na siyo kuongoza kimabavu.

nimeiona picha hij fb
 
Kabisa mkuu. Chombo Safi kabisa. Usikute naye alimpora mtu maana lile jambazi hatari. Kama alimpora mtu sasa nafikiri ni glass za wine zinagongana tu.
 
Afungwe Kwa makosa yepi Mkuu kwani Sabaya kabambikiwa kesi au ni kweli kayatenda makosa yaliyomtia hatiani??

Mbowe kesi yake iko wazi na waliotengeneza wameshindwa kudhinitisha mpaka sasa. Na hata akifungwa Kwa uonevu tayari tumeshajiandaa kisaikolojia kwani ukweli tumeshaufahamu.
 
Best sabaya hajawahi kushitakiwa kwa mauaji! Hayo mashitaka ya kutunga hayana maana ipo siku atakuwa huru!
Mkuu, hiyo ya "mashtaka ya mauaji" umeitoa wapi? Andishi langu halisemi popote kuwa ameshtakiwa kwa kosa la mauaji.

Sasa kama unavyosema mashtaka aliyokutwa na hatia ni ya "kutunga", hilo unalijuwa wewe. Na vipi, kwa nini usingejitokeza mahakamani kupinga hayo "mashtaka ya kutungwa"? Unaacha hadi mtu wako anadhalilishwa hivi halafu ndio ujitokeze JF kutetea, itasaidia kitu gani sasa!

Nami naamini, kuna siku atakuwa huru baada ya kutumikia kifungo chake, na pengine wakati huo atakuwa amejirudi na kujutia maovu aliyokuwa akiwafanyia watu wengine.
 
SUKUMA GANG wamejipanga, rufaa kuingizwa mahakamani jumatatu saa moja na robo asubuhi!

Kesi kurindima, hapa na pale mahakama kuu ita confirm kifungo, watakata
Kila kosa miaka 30
Jumla miaka 90
Baada ya Sabaya kujitetea Mahakama ikaaamua kufanya adhabu zote ziende pamoja , wakampiga 30mila kiuhalisia ilibidi ale 90.
 
Hii hukumu ya sabaya ni namna tunaandaliwa kisaikolojia kupokea hukumu ya mbowe.amka kijana,mbowe kaisha...
MATAGA mnawashwa nini? kwani Mbowe pekee ndio ana kesi?
MTAGA na UVCCM akili zenu ni kama ngedere, yani jambazi na libakaji na lihujumu uchumi na clip zipo, wananchi wanasema, yeye mwenyewe amekiri alikuwa anatumwa alafu bado tu mnasimama nalo? haki-ya-nani mnanuka damu na hamna huruma kabisa na waTanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…