Duh!!!? Siasa ni hatari,
enzi hizo nikiwa chuo nilikua active Sana Katika politics, hao akina makonda na madogo hao akina Sabaya wakiwa wajanja wajanja tu, hata kujenga hoja walikua hawawezi, Kuna mbunge vito maalum Alice ...jina la kihaya hovyo kabisa, akina Happy.
Ghafla baba angu akaniita, akaniambia politics ina risks nyingi Sana, ikiwemo assassinations, Kufungwa,kuchafuliwa.
Akaongeza, 'my son, you have been the best in every class you go through, I am sure you deserve better than taking risks of that level'
Akaishia hapo. Kwa shingo upande nikawaacha Hawa jamaa. Kwa sasa babaangu ni marehemu, nipo comfortable na secluded life.
Namkumbuka Sana baba yangu hasa nikiona haya yanatokea.
NB; Kwa formula ya political calculations, nina wasisi Kama Mbowe atachomoka.
ni mawazo binafsi yasiofungamana na upande wote.