Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Mbowe yeye anatuhumiwa kupanga mipango miovu ya kuvuruga AMANI YA nchi.
sasa wewe jiulize mtu anaye taka kuvuruga amani ya nchi unajua madhara yake ni makubwa kiasi gani?! ni hatari kubwa sana na kama akikutwa na hatia anastahili adhabu kali zaidi ili iwe fundisho kwa wanasiasa wengine wanao jaribu kuchezea amani ya nchi
yaani huwezi kulinganisha makosa ya unyanganyi, n.kna makosa ya mbowe ya kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi, Amani ya nchi ndio inayo tufanya leo tunafurahia haki kutendeka, amani ya nchi ndio mpango mzima, leo hii Mbowe na Genge lake la kihalifu wanadaiwa kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi iliyo tengenezwa na kulindwa kwa zaidi ya miaka 60!!
Amani ya nchi yetu ni ya thamani kubwa sana kuliko mbowe au mtu yeyote yule, atakaye bainika kuchezea amani yetu atashughulikiwa bila huruma.
Mjinga huota ujinga. Lakini ndoto ya mjinga haina athari kwa wenye akili. Endelea kuota.
 
unafahamu akikutwa na hatia adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa?
Hata akinyongwa Hadi kufa,unajua umri wa Mbowe au ushabiki ndio shida hapa!!..Unajua kwanini watu wanasema Mbowe ni mshindi!!...Umeona historia yeyote kumhusu yenye viashiria vya uvunjifu wa Amani?!!..
 
Mmeua mmoja hapo, viambatisho vyenu kuna uwezekano mkubwa sana visipokelewe hata kimoja, sijui mtaenda simama na ushahidi gan mahakaman
Sipo upande wowote
Ila naangalia hyo kesi kwenye kipengele cha mbowe kujenga urafiki na wanajeshi.hyo ni mbaya Sanaa
 
Lini walikuwa na mbowe chadema?
Hapa tuna ongelea Mbowe sio Chadema nadhani husomi magazeti au kusikiliza taarifa za habari!!..Wewe ambae hujui kama Mbowe ana Ndugu wa Damu tena sio wawili ni wanajeshi kweli ajabu alafu Una shangaa kuwa na Marafiki wanajeshi!!
 
Nimekuuliza lini walimsapoti kwenye harakati zake.unawaona wakienda mahakamani !?
Mbowe ni binadamu lakini kuna vitu ametuzidi sana hii kesi ni Kubwa lakini Ndogo sana!!!..Hebu Angalia jopo la wanasheria wake!!..Umejiuliza mabalozi wanaendaje kumsupport mtuhumiwa wa Ugaidi?!!..Au ulitaka Mabalozi na Ndugu zake watoe Tamko?!!
 
Back
Top Bottom