Lengo la dini ni nini?

kwani kuna ubaya gani wewe mwenyewe ukanieleza maana ya hilo neno? mimi sipo hapa ku-act kama najua kila kitu... mimi nakuruhusu unaweza kuendelea na kunielewesha unachoisi sikielewi.

Unauliza swali la kitu ambacho hukijuwi maana yake?

Kama umekiri hujuwi maana ya dini, sasa anza kwa kuuliza ujuzwe dini ni nini.
 
Endelea kuwepo tu na kuzitafuta hizo usemazo "fact" nyingine kwa kuwa hata wewe mwenye hujiamini kwa sababu umekiri kuwa upo tu.

Safari njema ya maisha.
ndo nnavyoona, sasa unataka niact kama nfahamu THE GREAT PURPOSE wakati ukweli ni kwamba sijawahi kuipata hiyo purpose.. kwa nini unaonkeakana kunibeza saana mimi kusema sifahamu lengo la maisha? kwani ww unalifahamu?
 
"When I was a child, I spoke like a child, I thought like a child, I reasoned like a child. When I became a man, I gave up childish ways." (1 Corinthians 13:11).

Apparently there's existence of a substantial, intelligent, educated atheist/agnostic community, and by the hundreds of mutually contradictory opinions about the gods believed in (i.e., religions). But the evidence for any supernatural beings is clearly inadequate to explain the widespread and profound belief in so many particular ones. Scientific and philosophical argument has, it seems, convinced no one and changed very few minds on the matter.

it cannot explain the ubiquitous belief in gods across almost every culture on Earth because no consensus has developed supporting belief in any of them even after several thousand years of research and debate
 
dini ni nini, FaizaFoxy?

Kwanza ukumbuke kuwa neno "dini" limetokana na lugha ya Kiarabu, kwa ukaribu kabisa wa kulifafanua Kiswahili, linamaanisha "njia".

Kwa mafunzo ya Uislam dini (njia) ya kufika kwa (ayatakayo) Allah (Mwenyeezi Mungu) ni Uislam (kujisalimisha kwa Allah (Mwenyeezi Mungu) mmoja.

Katika Uislam tunajifunza kuwa hakuna kulazimishana katika dini (njia). Wewe una yako nami nina yangu. Isipokuwa kuna kueleweshana tu na kuelimishana kwa apendae kujuwa.
 
Mbona tumuona na kushuhudia matukio mengi tu ya kulazimisha watu wawe waislam tena hata kuwaua maelfu kwa maelfu...Boko haram ndio kazi waliyo tumwa na kiongozi wenu ambaye sitamtaja kwa sababu maalum..._,hilo unalionaje.?
 
ndo nnavyoona, sasa unataka niact kama nfahamu THE GREAT PURPOSE wakati ukweli ni kwamba sijawahi kuipata hiyo purpose.. kwa nini unaonkeakana kunibeza saana mimi kusema sifahamu lengo la maisha? kwani ww unalifahamu?

Mkuu nimeukubali sana upeo wako I,e uko na fikra pevu.
 

Laiti kama robo tu ya wakaazi wa dinia hii wangekua na akili na fikra kama hizi..basi dunian pangekuwa na mahali salama na pazuri sana pa kuishi.._ila ndio hivyo tena dunia imejazwa na watu wenye mihemko ya hizi dini I,e wamejazwa roho mbaya ya visasi,chuki,husda na dini zao kiasi cha kufanya maasi na mauaji ya kutisha.
 
better shut up!! Kumbe huelewi chochote,unarandaranda tu

Yamekuingia ndiyo maana umejibu, la sivyo ungekaa wewe kimya. Watu hawadandii daladala kwa mbele.

Wewe itakuwa katika wale waliopewa dozi na Mkapa.
 

Sijaelewa chochote...nehi yaani
 
Ana point lakini waliolewa dini wanajitoa ufahamu wanamjibu kimapokeo tena kwa jazba kana kwamba analazimishwa kuamini.

Dini ni mapokeo..na binadamu ndo wamecreate...zinaweza zikawa na maana na zinaweza pia zikawa hazina maana yoyote. Dini ingeleta maana Kama binadamu wote tungekuwa na imani moja tunaamini kitu kimoja. Sasa dini zipo lukuki kila moja na imani yake na sheria yake. Tuache ipi na tufate ipi
 
"Dini ni serikali ndogo" kuheshimu sheria na utawala ( Rules and Laws ) deni ukivunja sheria lazima uadhibiwe !!
 
Last edited by a moderator:
Na kunibeza kote kule, ndio umekuja kutoa mawazo yaliyo ndani ya box kama hayo? mie naona inabidi ufikirie kiupana zaidii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…