Aladeen04
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 3,524
- 5,731
- Thread starter
- #21
Ilikuwepo ndiyo kama Mbuga lakini haikuwa na hadhi iliyonayo sasa, ilikuwa na sababu ya kuwa hifadhi ya wanyamapori? Maana kwa hapa nyumbani tunazo mbuga nyingi sana ila zina sababu ya kuhamishiwa wanyama ziwe hifadhi?Ile mbuga ilikuwapo siku nyingi sana hata kabla ya uhuru, kilichofanyika ni kuitangaza ijulikane tu; siyo kuwa ilianzishwa majuzi tu.