Aladeen04
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 3,524
- 5,731
- Thread starter
- #41
Mungu ampumzishe anapostahilišHilo angeweza kulijibu Mnyenyekevu
View attachment 1818827
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ampumzishe anapostahilišHilo angeweza kulijibu Mnyenyekevu
View attachment 1818827
Ubishi kuhusu matumizi ya majina ya ama Biharamulo au Chato siyo jambo la msingi, bali issue ni uwepo wa mbuga yenyewe. Mbuga hiyo ilikuwapo kama vile ile mbuga ya mikumi (iliyopewa jina la Nyerere) ilivyokuwapo ila katika effort ya kuongeza maeneo ya kuvutia utalii ndipo zimekuwa upgraded. Eneo hilo karibu na Chato kuna kisiwa fulani kinaitwa Lubondo ambacho ni kwa ajili ya wanyama pori tu, hakuna binadamu anayeruhusiwa kuishi pale nadhani tangu tupate uhuru. Mbuga kama Gombe siyo kubwa sana ya kulinganisha na hiyo ya Burigi lakini kwa ajili ya sokwe mtu, imetunzwa kama kivutio cha utalii ; mbuga ya Burigi inatofautiana pia na mbuga nyingine nyingi kwa kuwa na mamba wengi, jambo ambalo linaweza kuwa kivutio cha utalii. Tukubali kuendelea kufungulia mianya ya utalii.Burigi kwa asilimia kubwa iko biharamulo ,muleba na karagwe sasa kuita burigi chato duu
Acha siasa za kipumbavu kwenye mambo ya maana.Kwa hiyo kuongeza chanzo Cha utalii ni kosa.Samahani lakini blaza ficha ujinga wako. Wewe siyo mwenyeji pekee wa hii nchi hayo maeneo unayoyaandikia hapa yana wenyeji ambao pia wanashangaa imekuwaje?
Lengo la jpm lilikuwa na nia ovu ya kupromote chato badala ya burigi,other wise ingebaki na jina lake la asili tu la burigiUbishi kuhusu matumizi ya majina ya ama Biharamulo au Chato siyo jambo la msingi, bali issue ni uwepo wa mbuga yenyewe. Mbuga hiyo ilikuwapo kama vile ile mbuga ya mikumi (iliyopewa jina la Nyerere) ilivyokuwapo ila katika effort ya kuongeza maeneo ya kuvutia utalii ndipo zimekuwa upgraded. Eneo hilo karibu na Chato kuna kisiwa fulani kinaitwa Lubondo ambacho ni kwa ajili ya wanyama pori tu, hakuna binadamu anayeruhusiwa kuishi pale nadhani tangu tupate uhuru. Mbuga kama Gombe siyo kubwa sana ya kulinganisha na hiyo ya Burigi lakini kwa ajili ya sokwe mtu, imetunzwa kama kivutio cha utalii ; mbuga ya Burigi inatofautiana pia na mbuga nyingine nyingi kwa kuwa na mamba wengi, jambo ambalo linaweza kuwa kivutio cha utalii. Tukubali kuendelea kufungulia mianya ya utalii.
Ku-upgrade mbuga zetu kuzisogeaza kwenye level ya kuwa vivutio vya utalii sioni kama ni tatizo.
Huoni matumizi ya hakili ktk hilo?, nmewahi kupita ktk pori hilo swala na wanyama wengine walisimama kando ya barabara kama ilivo kwa mikumi nk... kujiongeza pia ni jambo la kheri.Ilikuwa pori/mbuga kama sio hifadhi ya akiba ila kwa sasa ni hifadhi kamili.
šMungu ampumzishe anapostahiliš
Inaitwa hifadhi na siyo ''hifazi''. Na neno sahihi ni pori na siyo ''poli''.Mnaobeza hiyo hifazi hamjui HISTORIA ya Hilo Poli.Poli la Burigi Lina wanyama Toka enzi na enzi Kuanzia tembo,Simba ,chui nk.Yani JPM kuongeza chanzo Cha mapato katika nchi yetu imekua bingwa? Achenu wivu ndugu zangu.Hiyo hifazi imeanza na bado no change lakin mbeleni italeta faida kubwa hivo msilete siasa kwenye ishu za maana.
Aulizwe kigwangala maana alisapoti huu ujingaWakubwa zangu habari ya majukumu?
Leo katika kuangalia Channel yetu ya kizalendo Tz Safari Channel kuna documentary inaelezewa ya wanafunzi wa chuo cha MWEKA ambao wamepelekwa kwenda kufanya utafiti kule hifadhini, kiuhalisia mpaka sasa naona vijana wa watu wamepelekwa kuteseka kule kwa sababu wanyama hakuna na kuna mwanafunzi kaelezea kuwa wanyama wakiona watu wanakimbia kwa hofu ya kuwindwa. Lengo kuu la kuanzisha hifadhi ile ni lipi? Kuna watalii ambao huwa wanaenda kule kutalii?
Kwani jina la Burigi lilibadilishwa kuwa Chato? nadhani waliongezea tu kuwa Burigi-Chato huenda (sina uhakika) kuwa na mamlaka moja tu ya kusimamia Burigi pamoja na kile kisiwa cha Lubondo ambacho kiko Chato.Lengo la jpm lilikuwa na nia ovu ya kupromote chato badala ya burigi,other wise ingebaki na jina lake la asili tu la burigi
Haijabadishwa jina ila ameongeza neno chato mbele .trust me watu wa biharamulo wanaona wameporwa hifadhi yaoKwani jina la Burigi lilibadilishwa kuwa Chato? nadhani waliongezea tu kuwa Burigi-Chato huenda (sina uhakika) kuwa na mamlaka moja tu ya kusimamia Burigi pamoja na kile kisiwa cha Lubondo ambacho kiko Chato.
Kufungua kanda ya magharibi
Kilimanjaro mountain ndiyo mbuga ya pili kwa kuingiza mapato mengi nchini baada ya Ngorongoro. Acha porojoHiyo sio sababu kwani mbuga moshi ama arusha zina mchango mdogo sana kwenye utalii.
85% ya watalii wanaokuja Tanzania hua wanakuja kwa ajili ya Serengeti na hao 15% ndio mbuga nyingine zote.
So hiyo sio sababu.
Aiseeeee !!!Lengo lilikuwa
1. 'kama kuna hifadhi Moshi na Arusha why not Chato'?
2. Kama hifadhi ndio zinawatia kiburi hawa ma mangi subiri sasa tuone, ngoja na sisi tuwe nazo.
Ujinga mtupu!
Aliyekwambia alikuwa na mpango wa kustaafu kakudanganya bosilengo baada ya kustaafu iwe sehemu yakula pension na wanyama nakupoteza mawazo
lazima wawe karb na nyumban hatutaki usumbufu
Wakubwa zangu habari ya majukumu?
Leo katika kuangalia Channel yetu ya kizalendo Tz Safari Channel kuna documentary inaelezewa ya wanafunzi wa chuo cha MWEKA ambao wamepelekwa kwenda kufanya utafiti kule hifadhini, kiuhalisia mpaka sasa naona vijana wa watu wamepelekwa kuteseka kule kwa sababu wanyama hakuna na kuna mwanafunzi kaelezea kuwa wanyama wakiona watu wanakimbia kwa hofu ya kuwindwa. Lengo kuu la kuanzisha hifadhi ile ni lipi? Kuna watalii ambao huwa wanaenda kule kutalii?
Jamaa anaonekana kama sterling wa picha ya KihindiHilo angeweza kulijibu Mnyenyekevu
View attachment 1818827