Lengo la kuanzisha hifadhi ya Burigi - Chato lilikuwa ni nini?

Lengo la kuanzisha hifadhi ya Burigi - Chato lilikuwa ni nini?

Ile mbuga ilikuwapo siku nyingi sana hata kabla ya uhuru, kilichofanyika ni kuitangaza ijulikane tu; siyo kuwa ilianzishwa majuzi tu.
Haikua mbuga,ni pori la akiba kama mapori mengine ya akiba.Kama ni mbuga,tunazo nyingi na nyingine Hazina tija kwakua tumeshindwa kuzitangaza.
 
Wakubwa zangu habari ya majukumu?

Leo katika kuangalia Channel yetu ya kizalendo Tanzania Safari Channel kuna documentary inaelezewa ya wanafunzi wa Chuo cha Mwika ambao wamepelekwa kwenda kufanya utafiti kule hifadhini, kiuhalisia mpaka sasa naona vijana wa watu wamepelekwa kuteseka kule kwa sababu wanyama hakuna na kuna mwanafunzi kaelezea kuwa wanyama wakiona watu wanakimbia kwa hofu ya kuwindwa.

Lengo kuu la kuanzisha hifadhi ile ni lipi? Kuna watalii ambao huwa wanaenda kule kutalii?
Hii hifadhi ilianzishwa kwa sababu za kiqumer kutafuta kiki zisizokuwa na msingi wowote.
 
Lengo lilikuwa

1. 'kama kuna hifadhi Moshi na Arusha why not Chato'?
2. Kama hifadhi ndio zinawatia kiburi hawa ma mangi subiri sasa tuone, ngoja na sisi tuwe nazo.

Ujinga mtupu!
Nimefungua huu uzi nitoa hili jibu , hivi hiviii
 
Muda huu pia Tz Safari Channel naona wanaonyesha kuna Tausi huku kwetu Burigi-Chato, hawa tausi ni ndege wa asili kwenye hii hifadhi au nao wamekuja kuteswa kama wanafunzi wa chuo cha MWEKA?
 
Wakubwa zangu habari ya majukumu?

Leo katika kuangalia Channel yetu ya kizalendo Tanzania Safari Channel kuna documentary inaelezewa ya wanafunzi wa Chuo cha Mwika ambao wamepelekwa kwenda kufanya utafiti kule hifadhini, kiuhalisia mpaka sasa naona vijana wa watu wamepelekwa kuteseka kule kwa sababu wanyama hakuna na kuna mwanafunzi kaelezea kuwa wanyama wakiona watu wanakimbia kwa hofu ya kuwindwa.

Lengo kuu la kuanzisha hifadhi ile ni lipi? Kuna watalii ambao huwa wanaenda kule kutalii?
kuifanya chattle dubai ndogo. hata hivyo hakuna shida, uwanja tutatumia kwa matumizi ya jeshi. yaliyopita si ndwele, tugange yajayo.
 
Ila Mwenyezi Mungu Mkubwa jamani. Ilikuwa chato chato chato kila ukigeuka huku au kule ni chato tu. Mwenyezi Mungu akafanya yake AKAMNYAKUA haraka sana chaliiiiiii!!!. Chato kimyaaaaaa! 😂😂😂
Wakubwa zangu habari ya majukumu?

Leo katika kuangalia Channel yetu ya kizalendo Tanzania Safari Channel kuna documentary inaelezewa ya wanafunzi wa Chuo cha Mwika ambao wamepelekwa kwenda kufanya utafiti kule hifadhini, kiuhalisia mpaka sasa naona vijana wa watu wamepelekwa kuteseka kule kwa sababu wanyama hakuna na kuna mwanafunzi kaelezea kuwa wanyama wakiona watu wanakimbia kwa hofu ya kuwindwa.

Lengo kuu la kuanzisha hifadhi ile ni lipi? Kuna watalii ambao huwa wanaenda kule kutalii?
 
Wakubwa zangu habari ya majukumu?

Leo katika kuangalia Channel yetu ya kizalendo Tanzania Safari Channel kuna documentary inaelezewa ya wanafunzi wa Chuo cha Mwika ambao wamepelekwa kwenda kufanya utafiti kule hifadhini, kiuhalisia mpaka sasa naona vijana wa watu wamepelekwa kuteseka kule kwa sababu wanyama hakuna na kuna mwanafunzi kaelezea kuwa wanyama wakiona watu wanakimbia kwa hofu ya kuwindwa.

Lengo kuu la kuanzisha hifadhi ile ni lipi? Kuna watalii ambao huwa wanaenda kule kutalii?
Wachache wamebaki na wana hofu kubwa. Wengi wameuawa na wawindaji na waliovuka mpaka kuingia Rwanda nao waliuawa.
 
Ila Mwenyezi Mungu Mkubwa jamani. Ilikuwa chato chato chato kila ukigeuka huku au kule ni chato tu. Mwenyezi Mungu akafanya yake AKAMNYAKUA haraka sana chaliiiiiii!!!. Chato kimyaaaaaa! [emoji23][emoji23][emoji23]
We jamaa hahaaa
 
Lengo arusha ishuke alafu chatto iwe "afu landani" hapo ingeshakua mkoa,alafu angeagiza jesh ling'oe mt. Kilimanjaro liupeleke chato... nimeuguzaga vichaa najua akili zao! ogopa kichaa mwenye rungu!!
 
Lengo ilikuwa kuzuia uhalifu,maana waasi walikuwa wanaingia wanavamia watu, wanachimba dhahabu......hata wanyama walioamishwa kuletwa pale walikuwa wanyama wakali,

Nadhani hata ule uwanja wa ndege ulitengenezwa kusupport logistics za kijeshi kiurahisi endapo litatokea la kutokea
 
Wakubwa zangu habari ya majukumu?

Leo katika kuangalia Channel yetu ya kizalendo Tanzania Safari Channel kuna documentary inaelezewa ya wanafunzi wa Chuo cha Mwika ambao wamepelekwa kwenda kufanya utafiti kule hifadhini, kiuhalisia mpaka sasa naona vijana wa watu wamepelekwa kuteseka kule kwa sababu wanyama hakuna na kuna mwanafunzi kaelezea kuwa wanyama wakiona watu wanakimbia kwa hofu ya kuwindwa.

Lengo kuu la kuanzisha hifadhi ile ni lipi? Kuna watalii ambao huwa wanaenda kule kutalii?
Sidhani hata kama Kuna watalii uwa wanaenda uko
 
Back
Top Bottom