Ilikuwepo ndiyo kama Mbuga lakini haikuwa na hadhi iliyonayo sasa, ilikuwa na sababu ya kuwa hifadhi ya wanyamapori? Maana kwa hapa nyumbani tunazo mbuga nyingi sana ila zina sababu ya kuhamishiwa wanyama ziwe hifadhi?Ile mbuga ilikuwapo siku nyingi sana hata kabla ya uhuru, kilichofanyika ni kuitangaza ijulikane tu; siyo kuwa ilianzishwa majuzi tu.
siyo kufuja kodi za walalahoi, kina mama lishe nk ambao kutwa kucha unazifungia biashara zao huku unaenda kuchezea kodi kwa mambo ya kijinga na yasiyo na tija?Lengo ni wewe upate cha kuandika hapa
Taupate kujadili๐๐๐๐
siyo kufuja kodi za walalahoi, kina mama lishe nk ambao kutwa kucha unazifungia biashara zao huku unaenda kuchezea kodi kwa mambo ya kijinga na yasiyo na tija?
watu wakihoji, wanaitwa siyo wazalendo.
maana uzalendo ilikuwa kuunga mkono kila asemacho na afanyacho bwana yule..
mama atake asitake tutamwongezea muda...
Ila ninachoshukuru waislamu huwa siyo wanafiki kabisa. Mama akiongea kwangu mimi huwa naamini kwa asilimia kadhaa japo ni mwanasiasa.siyo kufuja kodi za walalahoi, kina mama lishe nk ambao kutwa kucha unazifungia biashara zao huku unaenda kuchezea kodi kwa mambo ya kijinga na yasiyo na tija?
watu wakihoji, wanaitwa siyo wazalendo.
maana uzalendo ilikuwa kuunga mkono kila asemacho na afanyacho bwana yule..
mama atake asitake tutamwongezea muda...
Wakubwa zangu habari ya majukumu?
Leo katika kuangalia Channel yetu ya kizalendo Tz Safari Channel kuna documentary inaelezewa ya wanafunzi wa chuo cha MWEKA ambao wamepelekwa kwenda kufanya utafiti kule hifadhini, kiuhalisia mpaka sasa naona vijana wa watu wamepelekwa kuteseka kule. Lengo kuu la kuanzisha hifadhi ile ni lipi? Kuna watalii ambao huwa wanaenda kule kutalii?
Burigi kwa asilimia kubwa iko Biharamulo, Muleba na Karagwe sasa kuita burigi chato duuIle mbuga ilikuwapo siku nyingi sana hata kabla ya uhuru, kilichofanyika ni kuitangaza ijulikane tu; siyo kuwa ilianzishwa majuzi tu.
Ila ninachoshukuru waislamu huwa siyo wanafiki kabisa. Mama akiongea kwangu mimi huwa naamini kwa asilimia kadhaa japo ni mwanasiasa.
Ilianzishwa au iliboreshwa?Wakubwa zangu habari ya majukumu?
Leo katika kuangalia Channel yetu ya kizalendo Tz Safari Channel kuna documentary inaelezewa ya wanafunzi wa chuo cha MWEKA ambao wamepelekwa kwenda kufanya utafiti kule hifadhini, kiuhalisia mpaka sasa naona vijana wa watu wamepelekwa kuteseka kule. Lengo kuu la kuanzisha hifadhi ile ni lipi? Kuna watalii ambao huwa wanaenda kule kutalii?
Kwa ajili ya pundaUshamba mzigo sana. Si unakumbuka waliweka mpaka taa za barabarani kule!?
"Au nasema uongo ndugu zangu?" Kumbe anasema uongo kweli tena altareni wakati mwingine๐๐ anyways ni kipindi na kimepita mazuri aliyofanya tunamshukuru alikuwa binadamu na makosa yake Mwenyezi Mungu amrehemu.Ila mwendazake akisema kama hamtaki kulipia huduma mbaki na ๐ฉ๐ฉ๐ฉ yenu nyumbani mnasema kawaonea
Ila mwamba kweli mwanasayansi hakuwahi kujua kutumia maneno matamu kufurahisha mtu๐๐๐๐
Na kipindi hicho alichongesha sanamu fake ya Baba wa Taifa ili kuhamisha mjadala wa kwanini kuanzishwa kwa ile hifadhi, kwa jinsi alivyo na akili butu ukimuuliza leo atakataa kwamba hakuhusikaKigwangalla anapaswa kutujibu hili
Hifazi ndio nini,?poli ndio nini ?mkuuMnaobeza hiyo hifazi hamjui HISTORIA ya Hilo Poli.Poli la Burigi Lina wanyama Toka enzi na enzi Kuanzia tembo,Simba ,chui nk.Yani JPM kuongeza chanzo Cha mapato katika nchi yetu imekua bingwa? Achenu wivu ndugu zangu.Hiyo hifazi imeanza na bado no change lakin mbeleni italeta faida kubwa hivo msilete siasa kwenye ishu za maana.
Hilo angeweza kulijibu MnyenyekevuLengo kuu la kuanzisha hifadhi ile ni lipi? Kuna watalii ambao huwa wanaenda kule kutalii?
Samahani lakini blaza ficha ujinga wako. Wewe siyo mwenyeji pekee wa hii nchi hayo maeneo unayoyaandikia hapa yana wenyeji ambao pia wanashangaa imekuwaje?Mnaobeza hiyo hifazi hamjui HISTORIA ya Hilo Poli.Poli la Burigi Lina wanyama Toka enzi na enzi Kuanzia tembo,Simba ,chui nk.Yani JPM kuongeza chanzo Cha mapato katika nchi yetu imekua bingwa? Achenu wivu ndugu zangu.Hiyo hifazi imeanza na bado no change lakin mbeleni italeta faida kubwa hivo msilete siasa kwenye ishu za maana.