Haikua mbuga,ni pori la akiba kama mapori mengine ya akiba.Kama ni mbuga,tunazo nyingi na nyingine Hazina tija kwakua tumeshindwa kuzitangaza.Ile mbuga ilikuwapo siku nyingi sana hata kabla ya uhuru, kilichofanyika ni kuitangaza ijulikane tu; siyo kuwa ilianzishwa majuzi tu.
Hii hifadhi ilianzishwa kwa sababu za kiqumer kutafuta kiki zisizokuwa na msingi wowote.Wakubwa zangu habari ya majukumu?
Leo katika kuangalia Channel yetu ya kizalendo Tanzania Safari Channel kuna documentary inaelezewa ya wanafunzi wa Chuo cha Mwika ambao wamepelekwa kwenda kufanya utafiti kule hifadhini, kiuhalisia mpaka sasa naona vijana wa watu wamepelekwa kuteseka kule kwa sababu wanyama hakuna na kuna mwanafunzi kaelezea kuwa wanyama wakiona watu wanakimbia kwa hofu ya kuwindwa.
Lengo kuu la kuanzisha hifadhi ile ni lipi? Kuna watalii ambao huwa wanaenda kule kutalii?
Nimefungua huu uzi nitoa hili jibu , hivi hiviiiLengo lilikuwa
1. 'kama kuna hifadhi Moshi na Arusha why not Chato'?
2. Kama hifadhi ndio zinawatia kiburi hawa ma mangi subiri sasa tuone, ngoja na sisi tuwe nazo.
Ujinga mtupu!
Lengo la kuweka TRA,CRDB,AIRPORT,MATAA,MAHAKAMA, HOSPITAL YA RUFAA YA KANDA NK NK NI NINI?Kumridhisha Kayafa mpenda misifa ya kijinga
Kiuhalisia hakukuwa na haja ya kuanzisha hayo makitu huko.Lengo la kuweka TRA,CRDB,AIRPORT,MATAA,MAHAKAMA, HOSPITAL YA RUFAA YA KANDA NK NK NI NINI?
Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
Pamoja na kumridhisha Kayafa na Uwaziri bado akakosaKigwangalla anapaswa kutujibu hili
kuifanya chattle dubai ndogo. hata hivyo hakuna shida, uwanja tutatumia kwa matumizi ya jeshi. yaliyopita si ndwele, tugange yajayo.Wakubwa zangu habari ya majukumu?
Leo katika kuangalia Channel yetu ya kizalendo Tanzania Safari Channel kuna documentary inaelezewa ya wanafunzi wa Chuo cha Mwika ambao wamepelekwa kwenda kufanya utafiti kule hifadhini, kiuhalisia mpaka sasa naona vijana wa watu wamepelekwa kuteseka kule kwa sababu wanyama hakuna na kuna mwanafunzi kaelezea kuwa wanyama wakiona watu wanakimbia kwa hofu ya kuwindwa.
Lengo kuu la kuanzisha hifadhi ile ni lipi? Kuna watalii ambao huwa wanaenda kule kutalii?
Wakubwa zangu habari ya majukumu?
Leo katika kuangalia Channel yetu ya kizalendo Tanzania Safari Channel kuna documentary inaelezewa ya wanafunzi wa Chuo cha Mwika ambao wamepelekwa kwenda kufanya utafiti kule hifadhini, kiuhalisia mpaka sasa naona vijana wa watu wamepelekwa kuteseka kule kwa sababu wanyama hakuna na kuna mwanafunzi kaelezea kuwa wanyama wakiona watu wanakimbia kwa hofu ya kuwindwa.
Lengo kuu la kuanzisha hifadhi ile ni lipi? Kuna watalii ambao huwa wanaenda kule kutalii?
Wachache wamebaki na wana hofu kubwa. Wengi wameuawa na wawindaji na waliovuka mpaka kuingia Rwanda nao waliuawa.Wakubwa zangu habari ya majukumu?
Leo katika kuangalia Channel yetu ya kizalendo Tanzania Safari Channel kuna documentary inaelezewa ya wanafunzi wa Chuo cha Mwika ambao wamepelekwa kwenda kufanya utafiti kule hifadhini, kiuhalisia mpaka sasa naona vijana wa watu wamepelekwa kuteseka kule kwa sababu wanyama hakuna na kuna mwanafunzi kaelezea kuwa wanyama wakiona watu wanakimbia kwa hofu ya kuwindwa.
Lengo kuu la kuanzisha hifadhi ile ni lipi? Kuna watalii ambao huwa wanaenda kule kutalii?
We jamaa hahaaaIla Mwenyezi Mungu Mkubwa jamani. Ilikuwa chato chato chato kila ukigeuka huku au kule ni chato tu. Mwenyezi Mungu akafanya yake AKAMNYAKUA haraka sana chaliiiiiii!!!. Chato kimyaaaaaa! [emoji23][emoji23][emoji23]
gPamoja na kumridhisha Kayafa na Uwaziri bado akakosa
Sidhani hata kama Kuna watalii uwa wanaenda ukoWakubwa zangu habari ya majukumu?
Leo katika kuangalia Channel yetu ya kizalendo Tanzania Safari Channel kuna documentary inaelezewa ya wanafunzi wa Chuo cha Mwika ambao wamepelekwa kwenda kufanya utafiti kule hifadhini, kiuhalisia mpaka sasa naona vijana wa watu wamepelekwa kuteseka kule kwa sababu wanyama hakuna na kuna mwanafunzi kaelezea kuwa wanyama wakiona watu wanakimbia kwa hofu ya kuwindwa.
Lengo kuu la kuanzisha hifadhi ile ni lipi? Kuna watalii ambao huwa wanaenda kule kutalii?