Lengo la kujiunga JF

Ndio, hadi sasa tunasubiri picha ya maeneo ya posta mpya haijaja kisa komenti yako...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimerudi tena ndugu yenu , Sasa jana nikaenda Posta nikawaambia nataka nipige picha kwenye Yale majengo mawili marefu, Kuna jamaa alionekana mstaharabu kavaa vizuri moka yake, kachomekea akasema nimpe elfu hamsini anipige picha Yale majengo yy ndio msimamizi, nikamuomba sana mana nilikuwa na buku ya nauli tu, nikaondoka ila leo nataka nirudi tena nimechukua hela kidogo Ya kibashara na mimi nikapige picha kwenye ghorofa
 
 
Aiseee[emoji23]
 
Kwa nini umebadili ID?
 
ushuru wa kuigia dar es salaam umetoa,mie ndio nakusanya
 
Kapicha kidogo basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…