bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Ndio watu wanatakiwa kuchukua tahadharikuna thread ya jamaa anaitwa john kaileta humu kwamba tuwe makini . Hivi vi i.D fake visitufanye tuwe safe. Mimi najiuliza je sera ya faragha ya j.F inasemaje kuhusu hili. Na maana jf wanaweza kutoa identities za watu humu kwa mamlaka pasipo kumshirikisha mhusika?
Wabunge sii wameubariki huo mkataba au wabunge sio wananchi?Kulazimisha mkataba unaokataliwa na wananchi ni UHAINI hii inatakiwa iwe kwenye kumbukumbu ili viongozi wote walipo madarakani waje wawajibishwe kwa hili bila huruma. Madaraka ya rais ni ya wananchi hawezi kuwanyamazisha kinyume na maslahi ya nchi.
sawaNdio watu wanatakiwa kuchukua tahadhari
Huu mkataba utakuwa wakiovu haswaKuwakamata na kuwashtaki wakosoaji wa mkataba mbovu wa DPW na Tanzania ni picha inayodhihirisha lengo la serikali yetu tukufu inayojitukuza kuliko uwepo wa Mungu.
Wakili Mwabukusi, Nyangali, Slaa ni public figures ambao serikali inahofia kuwanyamazisha kama ilivyojaribu kwa Tundu Lissu hapo awali.
Kuwashtaki kwa kosa la Uhaini ni picha inaiweka serikali kwenye mizania ya malengo yake kwa hatua mbalimbali za kuizima hii hoja inayojadiliwa sasa nchi nzima na wananchi.
USHAURI
RAI
- Serikali inabidi ikubali kukosolewa kwa kila hatua inayopiga ya maendeleo
- Ukosoaji na kupinga waziwazi siyo tishio kwa ustawi wetu kama nchi bali ni afya ya ushindani wa kifikra hususani kwenye kujenga hoja
- Kuwajengea hofu wananchi kwa kuonesha matumizi makubwa ya nguvu kupitia dola ni kuongeza athari za kukosa uvumilivu wa hoja na kisiasa
- Serikali kufanya maamuzi na yakaleta utata kimantiki ni vyema ikatumia njia za kidemokrasia kuzikabili hoja kuliko mabavu na vitisho
- Mimi kama mwananchi sijioni salama mbele ya serikali yangu. Kwa nini serikali inishughilikie kwa kutoiamini? Je, NI LAZIMA kuiamini serikali kwenye kila kitu?
Serikali iwaachie wanaharakati na wakosoaji wanaohoji maudhui ya mkataba huu ambao kila mtu sasa amegundua kuwa tunawekwa rehani.
Wananchi Gani hao mbona tupo tunaoafiki mchakato uendelee fasterKulazimisha mkataba unaokataliwa na wananchi ni UHAINI hii inatakiwa iwe kwenye kumbukumbu ili viongozi wote walipo madarakani waje wawajibishwe kwa hili bila huruma. Madaraka ya rais ni ya wananchi hawezi kuwanyamazisha kinyume na maslahi ya nchi.
Serikali haiwaui mnajiua wenyeweKuwakamata na kuwashtaki wakosoaji wa mkataba mbovu wa DPW na Tanzania ni picha inayodhihirisha lengo la serikali yetu tukufu inayojitukuza kuliko uwepo wa Mungu.
Wakili Mwabukusi, Nyangali, Slaa ni public figures ambao serikali inahofia kuwanyamazisha kama ilivyojaribu kwa Tundu Lissu hapo awali.
Kuwashtaki kwa kosa la Uhaini ni picha inaiweka serikali kwenye mizania ya malengo yake kwa hatua mbalimbali za kuizima hii hoja inayojadiliwa sasa nchi nzima na wananchi.
USHAURI
RAI
- Serikali inabidi ikubali kukosolewa kwa kila hatua inayopiga ya maendeleo
- Ukosoaji na kupinga waziwazi siyo tishio kwa ustawi wetu kama nchi bali ni afya ya ushindani wa kifikra hususani kwenye kujenga hoja
- Kuwajengea hofu wananchi kwa kuonesha matumizi makubwa ya nguvu kupitia dola ni kuongeza athari za kukosa uvumilivu wa hoja na kisiasa
- Serikali kufanya maamuzi na yakaleta utata kimantiki ni vyema ikatumia njia za kidemokrasia kuzikabili hoja kuliko mabavu na vitisho
- Mimi kama mwananchi sijioni salama mbele ya serikali yangu. Kwa nini serikali inishughilikie kwa kutoiamini? Je, NI LAZIMA kuiamini serikali kwenye kila kitu?
Serikali iwaachie wanaharakati na wakosoaji wanaohoji maudhui ya mkataba huu ambao kila mtu sasa amegundua kuwa tunawekwa rehani.
Msiconcludd msilolijua. Je kama akina slaa walikuwa wanaandaa na kuongea na maneshi ili kupindua nchi na Siri imenulikana kabla ya mission yaoShida ni kuwa hawatakuwa na ushahidi.
Hapo wanataka wapotezea muda tu
MBONA WEWE UNAMTUKANA BABA YAKO NA HAJAKUUAHaiwezekani mumtukane Raisi halafu muachiwe tu
Umeniona nimemtukana? Lete ushahidiMBONA WEWE UNAMTUKANA BABA YAKO NA HAJAKUUA
Wewe wala usighofu mama amesaini Mikataba 36 ndio kwanza umeanza mmoja mengine iko njiani inakujaKama lengo ni kupata mapato makubwa basi wampe DPW hizi taasisi TANROAD,TRC,WIZARA YA FEDHA,ATC.
Wewe wala usighofu mama amesaini Mikataba 36 ndio kwanza umeanza mmoja mengine iko njiani inakuja
Serikali, serikali, serikali. Mimi labda uelewa wangu ni mdogo. Hivi hili dude linaloitwa serikali ni nani? Maana naona kutokana na maoni ya watu wengi humu JF watu wengi wanaliogopa sana hili dude. Hili dude linapata wapi hizi nguvu zisizo na mipaka mpaka watu wanatetemeka wakisiki jina lake.Kuwakamata na kuwashtaki wakosoaji wa mkataba mbovu wa DPW na Tanzania ni picha inayodhihirisha lengo la serikali yetu tukufu inayojitukuza kuliko uwepo wa Mungu.
Wakili Mwabukusi, Nyangali, Slaa ni public figures ambao serikali inahofia kuwanyamazisha kama ilivyojaribu kwa Tundu Lissu hapo awali.
Kuwashtaki kwa kosa la Uhaini ni picha inaiweka serikali kwenye mizania ya malengo yake kwa hatua mbalimbali za kuizima hii hoja inayojadiliwa sasa nchi nzima na wananchi.
USHAURI
RAI
- Serikali inabidi ikubali kukosolewa kwa kila hatua inayopiga ya maendeleo
- Ukosoaji na kupinga waziwazi siyo tishio kwa ustawi wetu kama nchi bali ni afya ya ushindani wa kifikra hususani kwenye kujenga hoja
- Kuwajengea hofu wananchi kwa kuonesha matumizi makubwa ya nguvu kupitia dola ni kuongeza athari za kukosa uvumilivu wa hoja na kisiasa
- Serikali kufanya maamuzi na yakaleta utata kimantiki ni vyema ikatumia njia za kidemokrasia kuzikabili hoja kuliko mabavu na vitisho
- Mimi kama mwananchi sijioni salama mbele ya serikali yangu. Kwa nini serikali inishughilikie kwa kutoiamini? Je, NI LAZIMA kuiamini serikali kwenye kila kitu?
Serikali iwaachie wanaharakati na wakosoaji wanaohoji maudhui ya mkataba huu ambao kila mtu sasa amegundua kuwa tunawekwa rehani.
Kwa ulicho post wewe ndiyo unatakiwa kuulizwa elimu yako. Hivi elimu maana yake nini? Kuwa na cheti cha shule? Kama huwezi ukatumua ubongo wako vizuri hujaelimika. Kelimika kwako ni kutumia elimu uliyoipata shule kusaidia kuimarisha maisha ya jamii yako. Kinyume chake you are just a tool[emoji38][emoji38][emoji38]
You are a tool.Wewe Uko Moshi subiri tukutupie yanayojiri Muda si mrefu!