Lengo la Serikali ni kuwaua wakosoaji? Kesi ya Uhaini ni eneo la kujifunza

Sweikali ni dude kuuubwa sana ambalo linawajibika kwa taasisi moja tu na siyo kuwajibika kwa wananchi
 
Katiba na Sheria inahalalisha Uchochezi na kuutoa madarakani Utawala!
Wanasiasa woote ni wachochezi wanao chochea Fikra mpya vichwani mwa wananchi ili wakiwaelewa wauondoe utawala ulio madarakani!.....
 
Pale wazalendo wanapobadilishiwa Jina na kuitwa wahaini!!!

Wananchi TUMEKATAA hadaa hii!!!

MKATABA Ule ni BATILI na FAKE, ufutwe haraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…