Lengo la Simba isiwe kusajili kwa Sasa. Ina wachezaji Bora Sana Afrika. Kocha aendelee kuwaamini. Labda itoe Ulaya

Lengo la Simba isiwe kusajili kwa Sasa. Ina wachezaji Bora Sana Afrika. Kocha aendelee kuwaamini. Labda itoe Ulaya

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Sema bongo wachambuzi Ni washabiki tu. Ukiwafata na ushabiki Ni hakuna kabisa vitu kichwani. Muda wote kuiponda Simba oh Haina timu.

Simba imemchukua baleke. Hata combination haijakomaa. Kafunga magoli mengi kuliko mfungaji yoyote ligi ya Tanzania tokea aje

Sawadong ametokea Chan, timu ya Taifa. Sema amekuta kikosi kizuri.

Simba imemchukua Okra, akiwa anacheza timu ya Taifa ya Ghana. Kutoka Africa wakiwa wawili wakati huo.

Sacko pekee kutoka Africa ndio yupo nation tearm ya Senegal. Hiyo inamaana ukitaka kumsajili msenegal mwingine Bora kuliko yeye Basi umtoe ligi ya ulaya. Bado wachambuzi oh tusajili?!!!! Nani Sasa, tukurupuke tu.

Tuliwachukua akina Duncan nyoni na kahata, chikwembe, wakiwa wa Moto kabisa lakini walikuta Kaka zao wakakalia benchi tu. Au laly bwalya, Simba imejaa vipaji tupu

Kusini mwa jangwa la Sahara Simba Sasa ndio inakikosi Bora zaidi na zaidi. Usije linganisha na Hao Yanga ata robo. Ilikuwa na shida kwa wafungaji Moses Phiri, baleke, Okra wote wamekuja wakiwa wafungaji Bora kabisa walipotoka. Acha robatinyo asuke kombination tu.

Eti wasajili hehehe. Nani Sasa labda Sadio Mane. Bakayoko Saka, au Harry Kane.
Afrika tutaibiwa tu. Je Mo anauchumi huo?
Leo klabu bingwa tunawafungaji Bora wawili Kati ya tatu bora wote wako Simba. Beki Bora Sana kitakwimu Zipo Simba.

Ukisema tusajili useme Nani hafit, baleke? Au kanote, Mzamiru au Kapombe. Au kibu Denis.
 
Sijakuelewa Ankari japo Mimi ni Simba lia lia kabisa. 😂😂😂😂
 
Kaka nimekuelewa sana Simba sc ina kikosi bora sana si Ajabu kuona kwenye Caf champions League tunatawala kitakwimu mpaka sasa Chama na Baleke kila mmoja ana mabao manne kwenye hii michuano kitu ambacho sio kidogo kuna timu zimesajili striker za B na bado hizo goli kuzifikisha ni jambo gumu

Una Chama,Baleke,Sakho,Inonga,Tshabalala,Kapombe,Mzamiru,Manula .... kwa level ya Africa hao ni top player kabisa nashangaa mtu anaposema Simba bado haina kikosi cha kushindana Africa anataka isajili wachezaji toka wapii?
 
Mkuu pale Simba Kuna changamoto kidogo.

Kuna wachezaji WENGI sana inabidi waondoke WAZAWA kwa wageni.

Kuanza na WAGENI.

1.Mohamed Ottara.
2. Ismail sawadogo.
3. Sadio Kanute (japo wengi watashangaa)
4. Agastine Okkrah.
5.peter Banda.
6 Mosses phili.

1. Simba Ina changamoto kubwa Sana KWENYE kiungo Cha Ulinzi kwa sasa. 6,CDM, 8 Box to box japo tuna Mzamiru pekee.
Backline inafikika kirahisi mno.
Inonga Salim na Onyango, wanafikika kirahisi sana.

2. Simba Ina changamoto kwenye eneo la beki wa kati wa KUSHIRIKIANA na Inonga, Onyango MICHEZO Mikubwa HAIWEZI.
Akitoka Ottara aje beki wa maana kama bambala.
Eneo la beki wa kushoto mbadala wa Mohamed Hussen.

3. Kuongeza mshambuliaji mmoja wa kigeni mbadala wa Baleke, au mshindani wa Baleke.
Kutokana na wingi wa no 10, sacko, chama, Saido na phiri. Bora Ukamuacha Moses phili.
UKapata mshambuliaji wa KIGENI.
 
Back
Top Bottom