Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
- Thread starter
- #101
UNA UHAKIKA MKUU?hawa ndo wale asilimia 71 ambao report imeonyesha hawapend kufanya kazi😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UNA UHAKIKA MKUU?hawa ndo wale asilimia 71 ambao report imeonyesha hawapend kufanya kazi😀😀😀
DON'T TAKE IT THAT EASY,Hii nayo ndoto Kali sana,,,mwanangu bila shaka unajua kuendesha hata ndege,,Seneta wa Nachingwea#Nangwanda sijaona,,
MKUUBonge la uwandishi
Umeona eeh! Mi mwenyewe nimejikuta napata hamu ya kuendelea kusomaNimeipenda bure na ulivoandika kwa vifungu humchoshi msomaji
JUKWAA LIPI MKUU?Hili jukwaa siku hizi....
MKUULeeeeeefu, kipimo cha utunzi bora ni summary
NDIO MKUUhaha
swissme
AJIRA IPI MKUU?Seneta we mkaleee kamata ajira hiyo.
NAAAAAM MKUU.Bado Upo goba mpaka sahivi?
MKUUNi kawaida wadada wakiwa wamehamia bado wageni mahali wanatafuta kampani kwa style hiyo.. yule anayeonekana yupo close nao ndio wanajisogeza.
Akishazoea eneo akapata kampani nyingine inakua ngumu kwake kukuzoea.
Huyo dada ni muoga kidogo na wewe umekua mtu sahii wa kumkampani .
Japo mi sio mpiga ramli lakini utani wake, ni kama anataka kwenda mbali zaidi ya kampani..
Enjoy the ride...
PICHA LA KIHINDI??Yan iyo cmuliz yako kama picha la kihindi
WAMAANISHA MTIHANI WA UJIRANI MWEMA AU?Ujirani mwema!
MKUUHadithi nzuri
KIVIPI MKUU?Mbona kama haiingii akilini hivi
CHAI IPI TENA MKUU?Chai tamu sana hii
WEWE HUNA ADABU!pumbavu, hauna kazi za kufanya
NAAAAAAAAAAAAAM KIONGOZI.Senator. M twiz na general galadudu you guys mko talented. Wewe jamaa unajua..... Mzee wa kwenda kibaha. Na top speed ya mark X
SINA TATIZO KABISA NA NDUGU ZA HAWA,Kwi kwi kwi kwi kwi kwi[emoji28] [emoji28] .....eti unapendelea chips kama wanaume wa Dar[emoji2] [emoji2] [emoji2]mazafa......
UNA UHAKIKA MKUU?Zali la mentali hilo kabasyer