Lengo lake huyu dada ni nini?

Lengo lake huyu dada ni nini?

sigara imepanda bei zaidi ya mara saba watumiaji wapya wamepungua kwa asilimia 95, bangi ikihalalishwa kisha kete ikauzwa buku hizi story za namna hii zitapungua.
MKUU
KWANI WE' UNAVUTA SIGARA?

SAMAHANI LAKINI.
 
Hili jamaa linafurahisha sana, sikusoma username yake ila nilipofika katikati ya story na kuona maneno ya KUPISHA SITI YA DEREVA na KUANZA KUIPA FIMBO ZA KUTOSHA na KUOVATEKI magari nikajua tu hizi ni fix za Seneta Wa Mtwiz.
HAAAA. HAAAAAA.HAAAAAAAH!

MKUU,
KUNA MADEREVA WENGINE NI JEURI SANA BARABARANI,
SO NI LAZIMA TUWAOVATEKI KWA NGUVU,

MAANA'KE HAKUNA NAMNA NYINGINE.
 
Back
Top Bottom