YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Watu hawaelewi siri ya bajeti wengine hawataki kusikiliza kabisa matokeo yake hukosea kwenye maisha baadaye kuilalamikia serikali.
Bajeti hii moja ya malengo yake iliyoweka ni Kusomesha kwa wingi Wataalamu kwenye Fani na Ujuzi Adimu/Maalum
Wahindi na wawekezaji wa ndani na nje na wafanyabiashara hufuatilia sana bajeti kujua fursa ziko wapi.
Lakini hata watu wa kawaida hutakiwa kufuatilia bajeti nimechukua hicho kipengele ndani ya bajeti iliyosomwa na serikali
Hapo ina maana mtoto kama anataka kusoma na baadaye awinde ajira ni vizuri aombe kusoma fani za ujuzi adimu na maalumu akienda kujisomea chochote nje ya hapo shauri yake na mzazi wake.
Bajeti ni kitu sensitive na serious lakini tatizo watanzania walio wengi mitandaoni wanapenda vitu ambavyo sio serious ikiwemo humu JamiiForums.
Bajeti hii moja ya malengo yake iliyoweka ni Kusomesha kwa wingi Wataalamu kwenye Fani na Ujuzi Adimu/Maalum
Wahindi na wawekezaji wa ndani na nje na wafanyabiashara hufuatilia sana bajeti kujua fursa ziko wapi.
Lakini hata watu wa kawaida hutakiwa kufuatilia bajeti nimechukua hicho kipengele ndani ya bajeti iliyosomwa na serikali
Hapo ina maana mtoto kama anataka kusoma na baadaye awinde ajira ni vizuri aombe kusoma fani za ujuzi adimu na maalumu akienda kujisomea chochote nje ya hapo shauri yake na mzazi wake.
Bajeti ni kitu sensitive na serious lakini tatizo watanzania walio wengi mitandaoni wanapenda vitu ambavyo sio serious ikiwemo humu JamiiForums.