Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 4,153
- 3,800
Huwa tunapiga kura kwa kufikiria au kwa kutumia sanduku la kura?kwa akil yak hiyo,huyo devota anaweza kumshinda abood?? Acha domo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa tunapiga kura kwa kufikiria au kwa kutumia sanduku la kura?kwa akil yak hiyo,huyo devota anaweza kumshinda abood?? Acha domo mkuu
Ni sawa. Lakini hata hiyosiku moja ingetosha kurekebisha suala kama la pichaeInasikitisha sana ila tukikua tutaacha. Ni kama wakati ule tulivyokuwa tunaporana hata saa za mikononi, leo hii hamna mwenye time nazo.
Jiulize kwa nini zoezi limewekwa siku moja tu? Kwa nini siyo wiki au hata wiki mbili kiasi kwamba kama kuna mapungufu wahusika wajulishwe wayarekebishe?