Leo akifufuka Ndugu Ally Mohammed Kibao, atakihama CHADEMA: Mnyika amechagua kikao badala aende akatoe maelezo Polisi ya kiuchunguzi

Leo akifufuka Ndugu Ally Mohammed Kibao, atakihama CHADEMA: Mnyika amechagua kikao badala aende akatoe maelezo Polisi ya kiuchunguzi

Kikwava

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2015
Posts
1,741
Reaction score
1,068
Ni hali ambayo si yakawaida kwa hawa ndugu zetu chadema, Juzi hapa walikuwa wakiomba uchunguzi wa kifo Cha ndugu yetu Ally Mohammed Kibao uende haraka na Serikali yetu ikatekeleza Hilo.

Cha ajabu leo hii Mnyika anaitwa Polisi ili akatoe maelezo ya kiuchunguzi Polisi anashindwa kwenda kutoa ushirikiano eti kisa wanakikao Cha kamati kuu ya chadema, hivi Hawa watu mnawaelewaje ndugu zangu waTZ, wanamfanyia nini mwenzao?
Wanaogopa nini kwenda kutoa ushirikiano Polisi? Kwanini wanasuasua kutoa ushirikiano kwa Polisi.

Tunaliomba jukwa hii Tukufu liwahoji viongozi wa chadema wote kwamba cheo Cha Mnyika hakiwezo kikakaimishwa na mjumbe mwingine ili Mnyika aende Polisi akatoe ushirikiano?

NB; Chadema acheni siasa za hovyo nchini mwetu
 
..Chadema wamesema hawana imani na jeshi la Polisi. Na wameweka wazi kwamba hawatashirikiana na jeshi hilo ktk uchunguzi wa matukio ya utekaji. Badala yake Chadema wamesema wako tayari kushirikiana na WACHUNGUZI HURU WA KIMATAIFA, na wameisihi serikali iwaite haraka.
 
..Chadema wamesema hawana imani na jeshi la Polisi. Na wameweka wazi kwamba hawatashirikiana na jeshi hilo ktk uchunguzi wa matukio ya utekaji. Badala yake Chadema wamesema wako tayari kushirikiana na WACHUNGUZI HURU WA KIMATAIFA, na wameisihi serikali iwaite haraka.
Ndo maana tunasema chadema iangaliwe kwa jicho la pekee Sana kwenye haya yanayoendelea nchini
 
..Chadema wamesema hawana imani na jeshi la Polisi. Na wameweka wazi kwamba hawatashirikiana na jeshi hilo ktk uchunguzi wa matukio ya utekaji. Badala yake Chadema wamesema wako tayari kushirikiana na WACHUNGUZI HURU WA KIMATAIFA, na wameisihi serikali iwaite haraka.
Hii ni Tanzania kama wanataka hao mabeberu wanaowatuma ndo wafanye uchunguzi basi waende huko huko kwa mabeberu wakafanyie uchunguzi huko
 
..Chadema wamesema hawana imani na jeshi la Polisi. Na wameweka wazi kwamba hawatashirikiana na jeshi hilo ktk uchunguzi wa matukio ya utekaji. Badala yake Chadema wamesema wako tayari kushirikiana na WACHUNGUZI HURU WA KIMATAIFA, na wameisihi serikali iwaite haraka.
usiwaamini wanasiasa sana leo ni hivyo kesho mambo yakibadirika utajionea vichekesho!,hilo jeshi wanalolisema kesho wakipata hatamu yakushika uongozi kauli zitabadirika hutakaa uamini!
hilohilo jeshi ndo litakuwa kipenzi chao...
maisha ya siasa huwa yamejaa ndimi mbilimbili,ukiwakubali wanasiasa tembeanao kwa umakini sana utaachwa mataa!.
 
usiwaamini wanasiasa sana leo ni hivyo kesho mambo yakibadirika utajionea vichekesho!,hilo jeshi wanalolisema kesho wakipata hatamu yakushika uongozi kauli zitabadirika hutakaa uamini!
hilohilo jeshi ndo litakuwa kipenzi chao...
maisha ya siasa huwa yamejaa ndimi mbilimbili,ukiwakubali wanasiasa tembeanao kwa umakini sana utaachwa mataa!.

..mimi naamini wachunguzi toka nje wataweza kulisafisha jeshi la Polisi, na vyombo vingine vya dola, na tuhuma za utekaji na mauaji.
 
Ni hali ambayo si yakawaida kwa hawa ndugu zetu chadema, Juzi hapa walikuwa wakiomba uchunguzi wa kifo Cha ndugu yetu Ally Mohammed Kibao uende haraka na Serikali yetu ikatekeleza Hilo.

Cha ajabu leo hii Mnyika anaitwa Polisi ili akatoe maelezo ya kiuchunguzi Polisi anashindwa kwenda kutoa ushirikiano eti kisa wanakikao Cha kamati kuu ya chadema, hivi Hawa watu mnawaelewaje ndugu zangu waTZ, wanamfanyia nini mwenzao?
Wanaogopa nini kwenda kutoa ushirikiano Polisi? Kwanini wanasuasua kutoa ushirikiano kwa Polisi.

Tunaliomba jukwa hii Tukufu liwahoji viongozi wa chadema wote kwamba cheo Cha Mnyika hakiwezo kikakaimishwa na mjumbe mwingine ili Mnyika aende Polisi akatoe ushirikiano?

NB; Chadema acheni siasa za hovyo nchini mwetu
Baba yako akiuwawa na jeshi la polisi kuwa mtuhumiwa wa uuaji huo, utakubali polisi wakuite ukawasaidie uchunguzi wa kifo chake wakati umedai timu ya kijaji ndio ifanye huo uchunguzi? Hivi watu kama nyie mnatumia nini kufikiri lakini mnapoanzisha thread kama hizi? Kweli tumefikia mahali hapa pa wajinga wengi kutuchagulia wajinga wenzao kuwa viongozi wetu?
 
Ni hali ambayo si yakawaida kwa hawa ndugu zetu chadema, Juzi hapa walikuwa wakiomba uchunguzi wa kifo Cha ndugu yetu Ally Mohammed Kibao uende haraka na Serikali yetu ikatekeleza Hilo.

Cha ajabu leo hii Mnyika anaitwa Polisi ili akatoe maelezo ya kiuchunguzi Polisi anashindwa kwenda kutoa ushirikiano eti kisa wanakikao Cha kamati kuu ya chadema, hivi Hawa watu mnawaelewaje ndugu zangu waTZ, wanamfanyia nini mwenzao?
Wanaogopa nini kwenda kutoa ushirikiano Polisi? Kwanini wanasuasua kutoa ushirikiano kwa Polisi.

Tunaliomba jukwa hii Tukufu liwahoji viongozi wa chadema wote kwamba cheo Cha Mnyika hakiwezo kikakaimishwa na mjumbe mwingine ili Mnyika aende Polisi akatoe ushirikiano?

NB; Chadema acheni siasa za hovyo nchini mwetu
Chanzo cha habari yako......tafadhali....vinginevyo utakuwa unasema uongo 🙂
 
..Chadema wamesema hawana imani na jeshi la Polisi. Na wameweka wazi kwamba hawatashirikiana na jeshi hilo ktk uchunguzi wa matukio ya utekaji. Badala yake Chadema wamesema wako tayari kushirikiana na WACHUNGUZI HURU WA KIMATAIFA, na wameisihi serikali iwaite haraka.
Kwamba Mnyika na wana Chadema ni raia wenye uraia wa Kimataifa kwanza kabla ya Taifa lao la uzawa? Wameukana lini utanzania?

Sio kwamba Tanzania ni nchi huru yenye kujitegemea kwa kila nyanja ikiwemo ya ulinzi na Usalama wa nchi, raia na mali zao?

Kutii sheria za mamlaka yaliyopo katika nchi ambayo wewe ni raia wake ni Hekima.

Na Busara ni kuitikia wito na kukataa neno.




Unless kuna button inatafutwa….
 
Back
Top Bottom