Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
Kama kichwa cha habari kinavojieleza mimi sina maneno mengi tukutane mpira ukiisha
Mechi na Yanga sio kipimo na siku ile Simba hakushambuliwa ipasavyo hivo msijipe matumaini kwa huyo kipa
Hamna kitu hapo, bahati tu ilikua upande wake
Mechi na Yanga sio kipimo na siku ile Simba hakushambuliwa ipasavyo hivo msijipe matumaini kwa huyo kipa
Hamna kitu hapo, bahati tu ilikua upande wake