Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupanga ni kuchagua MKUU, endelea na utaratibu huo kama unaona unakufaa.Wadau hamjamboni nyote?
Asubuhi ya leo badala ya kunywa chai na vitumbua nimeamua kula ugali wa muhogo na dagaa.
Naomba mnishauri ikiwa ni vema niendelee na utaratibu huu au niandae utaratibu mwingine mbadala
Asubuhi njema kwenu nyote
nimependa mapishi ya Dagaa.umepika kiasilia kabisa na vichwa vyake.Mchuzi wa kutosha .hicho chakula mwilini kinaweza kuwa na faida mara 10 ya chips yai.Wadau hamjamboni nyote?
Asubuhi ya leo badala ya kunywa chai na vitumbua nimeamua kula ugali wa muhogo na dagaa.
Naomba mnishauri ikiwa ni vema niendelee na utaratibu huu au niandae utaratibu mwingine mbadala
Asubuhi njema kwenu nyote
Uzee utakuwa umeshaanza kukunyemelea, maana hizi ndio huwa story zenu.Wadau hamjamboni nyote?
Asubuhi ya leo badala ya kunywa chai na vitumbua nimeamua kula ugali wa muhogo na dagaa.
Naomba mnishauri ikiwa ni vema niendelee na utaratibu huu au niandae utaratibu mwingine mbadala
Asubuhi njema kwenu nyote
ushauri wangu kapost na facebook wenzio watakupa ushauriWadau hamjamboni nyote?
Asubuhi ya leo badala ya kunywa chai na vitumbua nimeamua kula ugali wa muhogo na dagaa.
Naomba mnishauri ikiwa ni vema niendelee na utaratibu huu au niandae utaratibu mwingine mbadala
Asubuhi njema kwenu nyote
Umekwisha kula ndio unaomba ushauri ilitokea wapi hiyo!Wadau hamjamboni nyote?
Asubuhi ya leo badala ya kunywa chai na vitumbua nimeamua kula ugali wa muhogo na dagaa.
Naomba mnishauri ikiwa ni vema niendelee na utaratibu huu au niandae utaratibu mwingine mbadala
Asubuhi njema kwenu nyote