Leo dola moja ni sawa na 2290. Kweli uchumi unakuwa

Leo dola moja ni sawa na 2290. Kweli uchumi unakuwa

toplemon

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
4,612
Reaction score
4,721
Katika mambo yanayokera,kutia hasira na kutia kinyaa ndo haya

Tanzania asilimia kubwa ya bidhaa tuna-import nje (kununua nje ya nchi) sasa hili swala la dola kupanda dhidi ya shilingi kunazidisha mfumuko wa bei hapa nchini

Hili jambo linapigiwa kelele mno lakini serikali yetu inayojidai ni sikivu hili wamelikalia kimya Bot nao kimya?

Miaka mitatu dola kupanda dhidi ya shilingi kutoka 1500 hadi leo karibia 2300 ni jambo la kutisha sana hii ni fedheha mno na inaonyesha uchumi wa nchi umedorora

Kwa hii hali mtawaweka wapi vijana wengi walojiajiri kwenye kununua bidhaa nje? (Importers)

Mtawaweka wapi wananchi kutokana na mfumuko wa bei?

Kwanini tusiruhusu free exports watu wauze nje free bila makato ili walau shilingi ipate thamani na mfumuko wa bei uondoke na wananchi wafurahie unafuu wa bidhaa kwa bei ya chini?
Screenshot_20181108-120913.jpg
 
Katika mambo yanayokera,kutia hasira na kutia kinyaa ndo haya

Tanzania asilimia kubwa ya bidhaa tuna-import nje (kununua nje ya nchi) sasa hili swala la dola kupanda dhidi ya shilingi kunazidisha mfumuko wa bei hapa nchini

Hili jambo linapigiwa kelele mno lakini serikali yetu inayojidai ni sikivu hili wamelikalia kimya Bot nao kimya?

Miaka mitatu dola kupanda dhidi ya shilingi kutoka 1500 hadi leo karibia 2300 ni jambo la kutisha sana hii ni fedheha mno na inaonyesha uchumi wa nchi umedorora

Kwa hii hali mtawaweka wapi vijana wengi walojiajiri kwenye kununua bidhaa nje? (Importers)

Mtawaweka wapi wananchi kutokana na mfumuko wa bei?

Kwanini tusiruhusu free exports watu wauze nje free bila makato ili walau shilingi ipate thamani na mfumuko wa bei uondoke na wananchi wafurahie unafuu wa bidhaa kwa bei ya chini?View attachment 925952
Huna cha kusifia, sasa hapo unakua? why 1:1 ungesemaje?
 
Tangu awamu ya tano inaingia madarakani bei ya mafuta ya petrol kwa lita ilikuwa sh ngapi? na kwa sasa ni sh ngapi, au unaamua kujitoa ufahamu?
 
Exchange rate sahihi ni za commercial Bank

CRDB = 2,344
NMB = 2,322

Bank kuu bado wanalazimisha rate isomeke 2,290
Sio kuwa wanalazimisha, wao ndio wapo sahihi zaidi coz wanakusanya kodi.
 
Tunza fedha katika account maalum iwe kwa USD na sio TZS.
Ili utakapo kuwa unatoa hiyo fedha utapewa kwa rate ya wakati huo.
Bank zote za kibongo zinafanya hyo huduma?.. Pili mpk uweke kwnye fixed account ama hta accnt ya kawaida tuu?
 
Ukiingi kwenye tovuti ya benki kuu na ofisi ya taifa ya takwimu, unakutana na ripoti kadha wa kadha wanazoziandaa kuhusu uchumi wa nchi. Kuna tovuti nilikuta wameandika TZS currency depreciation against US dollar ni 2.4%.

Siko mtaalamu sana wa mambo ya uchumi ila hii ratio ina maana kuwa shilingi iko imara kulinganisha na dola ya kimarekani ambapo mwanzo ratio ilikuwa 7%. Sasa turudi kwenye uhalisia, shilingi dhidi ya dola ya kimarekani inaimarika au inazidi kuzorota???

K' Matata.
 
Bank zote za kibongo zinafanya hyo huduma?..
Fungua dola account FNB
- Haina makato
- Kiasi utakachoweka, ndio utakachotoa
- Minimum kiasi cha kuweka ni kuanzia US $100

Account ya $ ni nzuri kuweka fedha ambayo huna matumizi nayo kwa muda.
Pili mpk uweke kwnye fixed account ama hta accnt ya kawaida tuu?
Fika bank iliyokaribu nawe, ulizia uwepo wa $ account, uliza TOS zao.
 
Fungua dola account FNB
- Haina makato
- Kiasi utakachoweka, ndio utakachotoa
- Minimum kiasi cha kuweka ni kuanzia US $100

Account ya $ ni nzuri kuweka fedha ambayo huna matumizi nayo kwa muda.

Fika bank iliyokaribu nawe, ulizia uwepo wa $ account, uliza TOS zao.

Hivi Tanzania au benki zetu zinaruhusu ufungue akaunti ya fedha za kigeni hata kama huna chanzo cha mapato ya hiyo fedha za kigeni? Hawatauliza hii akaunti ya dola unayofungua pesa za kuhifadhi chanzo chake utakuwa unakitoa wapi? Mfano ukisema unafanya kazi, je unalipwa kwa dola? naomba kufahamu kuhusu hili....
 
Katika mambo yanayokera,kutia hasira na kutia kinyaa ndo haya

Tanzania asilimia kubwa ya bidhaa tuna-import nje (kununua nje ya nchi) sasa hili swala la dola kupanda dhidi ya shilingi kunazidisha mfumuko wa bei hapa nchini

Hili jambo linapigiwa kelele mno lakini serikali yetu inayojidai ni sikivu hili wamelikalia kimya Bot nao kimya?

Miaka mitatu dola kupanda dhidi ya shilingi kutoka 1500 hadi leo karibia 2300 ni jambo la kutisha sana hii ni fedheha mno na inaonyesha uchumi wa nchi umedorora

Kwa hii hali mtawaweka wapi vijana wengi walojiajiri kwenye kununua bidhaa nje? (Importers)

Mtawaweka wapi wananchi kutokana na mfumuko wa bei?

Kwanini tusiruhusu free exports watu wauze nje free bila makato ili walau shilingi ipate thamani na mfumuko wa bei uondoke na wananchi wafurahie unafuu wa bidhaa kwa bei ya chini?View attachment 925952
Wazo lako ni zuri,lakini......Tanzania ya Viwander
 
Hawatauliza hii akaunti ya dola unayofungua pesa za kuhifadhi chanzo chake utakuwa unakitoa wapi? Mfano ukisema unafanya kazi, je unalipwa kwa dola?
Hii ni account ya kuweka fedha kidogo kidogo kwa kudunduliza.
Unapeleka benki TZS, ila kwenye account yako wanakuwekea kwa rate ya dola kwa siku husika.

- Hakuna hayo maswali, Taratibu za kufungua ni zile zile kama ufunguavyo account ya kawaida
1541677827412.png
 
Back
Top Bottom