Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unreliable source. Aja kuleta ujinga stupiddityKatika mambo yanayokera,kutia hasira na kutia kinyaa ndo haya
Tanzania asilimia kubwa ya bidhaa tuna-import nje (kununua nje ya nchi) sasa hili swala la dola kupanda dhidi ya shilingi kunazidisha mfumuko wa bei hapa nchini
Hili jambo linapigiwa kelele mno lakini serikali yetu inayojidai ni sikivu hili wamelikalia kimya Bot nao kimya?
Miaka mitatu dola kupanda dhidi ya shilingi kutoka 1500 hadi leo karibia 2300 ni jambo la kutisha sana hii ni fedheha mno na inaonyesha uchumi wa nchi umedorora
Kwa hii hali mtawaweka wapi vijana wengi walojiajiri kwenye kununua bidhaa nje? (Importers)
Mtawaweka wapi wananchi kutokana na mfumuko wa bei?
Kwanini tusiruhusu free exports watu wauze nje free bila makato ili walau shilingi ipate thamani na mfumuko wa bei uondoke na wananchi wafurahie unafuu wa bidhaa kwa bei ya chini?View attachment 925952
Duuuuh twafaaMiamala niliyofanya leo rate ni
1usd = TZS 2,384.12
Kwenye hizi e_site
- ALIEXPRESS
- SUGARDENIM
- ACNE
Kwa amazon rate ni
1usd = 2,435
View attachment 926040
Tunaofanya transctions kwenda nje na kupokea hela kutoka nje tunakuelewa kwa hii rate yako... Every time nikibuy us dollars exchange kuwa inakaribia 2400...Exchange rate sahihi ni za commercial Bank
CRDB = 2,344
NMB = 2,322
Bank kuu bado wanalazimisha rate isomeke 2,290
Halafu let me tell me tell u one thing... hizo exchange rate mnazotuandikia huwa zinakuwa different kabisa while mtu akifanya transaction mfano kama mfano kama buy/sell=2260/2300 wakati wa kufanya transction expect sell kuwa higher kuliko hiyo iliyoko hapo na buy kuwa low kuliko hiyo iliyoko hapo... huo ndo uchuro wa banks za kibongo...una uhakika? mi nipo nmb now.. jifunze kutofautisha buying and selling unavyosoma rate
Na hii ndo exchange rate ambayo mimi naijua siku zote...Miamala niliyofanya leo rate ni
1usd = TZS 2,384.12
Kwenye hizi e_site
- ALIEXPRESS
- SUGARDENIM
- ACNE
Kwa amazon rate ni
1usd = 2,435
View attachment 926040
Hakuna maswali yoyote Mkuu. Utaratibu au namna ya kufungua hiyo dollar Acc, ni sawa tu na jinsi ulivyofungua hiyo Acc ya kawaida...Hivi Tanzania au benki zetu zinaruhusu ufungue akaunti ya fedha za kigeni hata kama huna chanzo cha mapato ya hiyo fedha za kigeni? Hawatauliza hii akaunti ya dola unayofungua pesa za kuhifadhi chanzo chake utakuwa unakitoa wapi? Mfano ukisema unafanya kazi, je unalipwa kwa dola? naomba kufahamu kuhusu hili....
Don't you know that we are in a lait track????Hali ni tete kiukweli yani dolla ina panda kila siku.
Jukwaa lako ni kule MMU ndio panaendana na wewe, huku utaishia kuaibika.Ukiingi kwenye tovuti ya benki kuu na ofisi ya taifa ya takwimu, unakutana na ripoti kadha wa kadha wanazoziandaa kuhusu uchumi wa nchi. Kuna tovuti nilikuta wameandika TZS currency depreciation against US dollar ni 2.4%.
Siko mtaalamu sana wa mambo ya uchumi ila hii ratio ina maana kuwa shilingi iko imara kulinganisha na dola ya kimarekani ambapo mwanzo ratio ilikuwa 7%. Sasa turudi kwenye uhalisia, shilingi dhidi ya dola ya kimarekani inaimarika au inazidi kuzorota???
K' Matata.
Jamani April ilikua ni mateso euro ilikua 2800 sisahau *****rate sahihi ni ile ya bureau de change ambayo unaweza ukaifanya hela yako ikiwa $ kwaajili ya matumizi ya ndani au ya nje.View attachment 926789
Usihangaike kujibu machizi ya ccmAre you gone mad? Kuna kitu au data zimepikwa hapa?kwani dola dhidi ya shilling haijapanda? Stupidity imekujaa wewe usiyeelewa chochote dunia hii
Mkuu CRDB wanafanya na ni acc ya dola inaweza kuwa ya kawaida tu sio fixed acc tena makato madogo sanaBank zote za kibongo zinafanya hyo huduma?.. Pili mpk uweke kwnye fixed account ama hta accnt ya kawaida tuu?
Account ya dola ni gharama sana kuifungua na kuiendesha, mi ningemshauri anunuwe dola kutunza nyumbani kwakeTunza fedha katika account maalum iwe kwa USD na sio TZS.
Ili utakapo kuwa unatoa hiyo fedha utapewa kwa rate ya wakati huo.
Kuna benki zingine hakuna ghalama yeyote ya kuiendesha.Account ya dola ni gharama sana kuifungua na kuiendesha,
Hapanami ningemshauri anunuwe dola kutunza nyumbani kwake