Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Crdb rate yao ni 2239.7Tunaofanya transctions kwenda nje na kupokea hela kutoka nje tunakuelewa kwa hii rate yako... Every time nikibuy us dollars exchange kuwa inakaribia 2400...
Hizo rate ulizotaja ni kama wewe una Tshs na unataka "kununua" dollar. Kama una dollars na unataka kuchenji upate Tshs, rate za bank zitakuumiza mno - ni za kinyonyaji. So, rate "sahihi" zipo kwa bureau de changes.Exchange rate sahihi ni za commercial Bank
CRDB = 2,344
NMB = 2,322
Bank kuu bado wanalazimisha rate isomeke 2,290
Commercial Bank hawana rate sahihi kwa sababu FOREX siyo kazi yao maana price zao ziko juu kwa sababu si kazi yao kubadilisha fedha mabank yana discourage kwa kuweka exchange rate za kuumiza. Bureau de change ama maduka ya kubadilishia fedha ndiyo yana Exchange rate sahihi.Exchange rate sahihi ni za commercial Bank
CRDB = 2,344
NMB = 2,322
Bank kuu bado wanalazimisha rate isomeke 2,290
Wewe sio mzalendo na ulizoea kupiga dili,, hahahahaha lazima tuwanyooshe wapiga dili..
Ndoto yangu ya kuagiza gari japan inazidi kuyeyuka.
Leo AMAZONMiamala niliyofanya leo rate ni
1usd = TZS 2,384.12
Kwenye hizi e_site
- ALIEXPRESS
- SUGARDENIM
- ACNE
Kwa amazon rate ni
1usd = 2,435
View attachment 926040
Je katika iyo ya akaunt ya $ kwa Fnb,je naweza nikaifungulia Fixed Account dollaFungua dola account FNB
- Haina makato
- Kiasi utakachoweka, ndio utakachotoa
- Minimum kiasi cha kuweka ni kuanzia US $100
Account ya $ ni nzuri kuweka fedha ambayo huna matumizi nayo kwa muda.
Fika bank iliyokaribu nawe, ulizia uwepo wa $ account, uliza TOS zao.
Ndio waweza kufanya hivyo.Je katika iyo ya akaunt ya $ kwa Fnb,je naweza nikaifungulia Fixed Account dolla
Mfano nikiwa na milioni Mbili,nikataka niifanyie biashara ya kubadilisha shilingi kwenda dolla,kisha ikipanda niende kuibadilisha kurudi tsh je inawezekanaNdio waweza kufanya hivyo.
- Fedha yako itakuwa fixed, kama umeweka 1,000, mwisho wa siku utatoa kiasi hicho hicho $1,000
- Faida utakayoipata ni kutokana na kuporomoka kwa TZS
- Mfano uliweka rate ya $1 ikiwa 2,250 na ukitoa mfano (baada ya mwaka) rate ikawa ni $1 ni TZS 2,380
- Utaona hapo faida ni tofauti ya 2,380 - 2,250 = TZS.130 zidisha kwa $1,000
- Hitimisho: Nifaida kuhifadhi fedha kwa fedha ya kigeni USD na hii GBP
Ndio. Inawezekana.Mfano nikiwa na milioni Mbili,nikataka niifanyie biashara ya kubadilisha shilingi kwenda dolla,kisha ikipanda niende kuibadilisha kurudi tsh je inawezekana
Nimependa sana ushauri wako,Hii buseness ulishawahi kuifanya,Naomba tuwasiliane PmNdio. Inawezekana.
- Unapoweka au kutoa rate inayotumika ni ya wakati huo.
