Acha neni na mambo ya kulipiza, kinachotakiwa ni Fff kumchapa mtotowake mbele ya hadhara au yeye Tff tumwajibishe. Kwaiyo wata azibiana wenyewe kwa wenyewe tukiona wanaogopana wote watapewa adhabu inayo wafaa.
Kuna jamaa Anadai mkataba wa Morrison haukuwa na fingers print nani namuuliza kwani mkataba ni timu ya usajili ambayo ni document ya Tff?
Mkataba una andaliwa na mwajili ambaye ni Yanga sio Tff, Yanga wakiamua kuwe na dole gumba kwenye sehemu ya sahihi pekeyake sawa, iwe mkono mzima wenye vidole vyote sawa,ili mradi anaye kubali ku usaini awe ameusoma yeye mwenyewe au wakili wake kwa maslai yake. Baada ya apo kivuli cha mkataba kinapelekwa Tff.