Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GSM siyo level za bongo, hawa jamaa wana connections na siyo wa kuchezewa![emoji3][emoji3][emoji116]View attachment 1532260
Bado Kishingo....dah! atawauwa upande wa pili![emoji116]View attachment 1532260
Kwamba chama anakuja kwa wananchi?[emoji116]View attachment 1532279
Dunia isimame Kwa upuuzi huu??Kitendo cha Kumchukua Morrison kimetuvuruga sana. Maumivu yake bado mabichi kabisa. Simba mngechukua hata nzima lakini siyo Morrison.
Sasa leo hii tunalipiza. Hatutawaacha salama. Tunalipiza sababu kisasi ni Sunna. Tutapiga kwenye chembe ya moyo.
SUBIRINI MAMBO YANAKUJA MUDA SI MREFU.
View attachment 1532090
Nlitamani awe Chama. Deo Kanda Bado Hatujawaumiza Simba. Kule hakuwepo kwenye first eleven. 😔😔😔😔😔😔😔
Manara nae kaomba kijiunga na Yanga kasema hana furaha pale umbumbumbuniSasa GSM wako hatua za mwisho kamsajili MO Dewji
Ccm mfumo ilikua kabla ya 2015 baada ya hapo ni mabavu ya mtu mmoja..... Ukimsumbua unatishiwa bastola na ukizingua zaidi unatumwa kutibiwa nje.....Pole Mkuu CCM siyo kama vyama vyenu vya kishabiki. Kinawanachama makini.
Tena ujue kuwa CCM ndo maarufu siyo mtu. Nadhanii mifano unayo mizuri tu.