Leo Dunia inasimama Yanga tumelipiza kwa kupiga kwenye chembe ya Moyo

Soka la kishamba limeanza kurejea tena ili kuwapumbaza mashabiki maandazi
 
Dunia isimame Kwa upuuzi huu??

Hahahahahaaaaaa
 
Pole Mkuu CCM siyo kama vyama vyenu vya kishabiki. Kinawanachama makini.
Tena ujue kuwa CCM ndo maarufu siyo mtu. Nadhanii mifano unayo mizuri tu.
Ccm mfumo ilikua kabla ya 2015 baada ya hapo ni mabavu ya mtu mmoja..... Ukimsumbua unatishiwa bastola na ukizingua zaidi unatumwa kutibiwa nje.....

Hivi nyie maccm mbona wagumu kuelewa na wepesi kusahau yani mara hii umesahau suluba za miaka hii 5?????πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…