Leo huenda ikawa siyo siku nzuri kwa Rais wa TFF Malinzi kwani Mapacha hawa kuchukua Fomu rasmi

Wadau wengi naona wanataka JMalinzi apumzike..ni wakati wa mabadiliko...Ngoja tusubiri uchaguzi
 
Soka gani lilokuwa na uhai labda?

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo ukishacheza mpira ndio kujua leadership na management ya mpira sio?only in Tanzania ndio maana soka letu haliendelei sababu mmejaa unafiki na hamjui ñini hasa mnataka.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, mapinduzi ya soka hapa nchini yatafanywa tu pakiondolewa Usimba na Uyanga. Tazama sasa wanavojipanga, kama rais ni Msimba basi makamu wake lazima awe Myanga. Malinzi apumzike tu kwa kweli maana ni aibu sana.
Aibu anatembea uchi?

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo hicho Ndio kiwe kigezo cha yeye kuendelea?
Si kigezo cha yeye kuendelea, nilichomaanisha ni kwamba hata viongozi waliopita hakuna cha maana walichokifanya na hata hao mnaowataka hakuna watakachofanya kama serikali haitashiriki ipasavyo katika kukuza michezo nchini. Then watu wanadhani Ally kwa vile anachambua vema soka ndo labda atafanikiwa katika kuongoza!
 
Mimi Ni Simba damu!!
Hata komenti zangu za humu zita thibitisha Hilo lakini katika hao wagombea wote kama Ally Mayay akichukua fomu nitamuunga mkono
Hala ikitokea akiwa Rais na Yanga kuchukua ubingwa hamtaacha kudai kuwa anaibeba Yanga kama Malinzi?

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Acha vitisho wewe popoma unichenjie wewe kama nani labda na wewe kama nani umpangie mtu cha kupost au kusapoti mgombea amtakae?

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…