Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Sio mwanae tuu hata yeye ni mkata viuno kwenye Casinos.Nyinyi "wadau" ndio mnaharibu michezo nchini
Mdau ndio cheo au wadhifa gani kwenye mchezo?
Wadau! Wadau ukute mwanao ni mkata viuno stejini halafu unajifanya una uchungu na soka!!
Mpira pesa. Sasa kama nyie hamna pesa mnalialia nini sasa au mnataka mkishapata huo uongozi muanze kutuibia kwanza then soka baadae?Mkuu hili ni Swali ambalo kiuhakika hata Mimi najiuliza sana kwani hakuna Watu ambao wana Njaa iliyotukuka kama hawa Wajumbe wapiga Kura na kuna Mdau mmoja ambaye yupo karibu na tunayempinga na kumtaka apigwe chini anasema kuwa kwa Hela / Pesa / Fedha aliyoipiga Jamaa anaweza kuwahonga Wajumbe wote Gari mpya aina za IST na akawapa kila mmoja Hela ya Mboga Tsh Milioni Moja Moja.
Jabali=JamaliHata akiwa na magogo hawezi kumshinda Jabali Malinzi
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Wewe ni nani,mfua kyupi wa nyamlani na mayai?Wewe utakuwa ni muhaya au mkusanya mapato katika mechi zinazosimamiwa na tff ya malinzi
Haya jikusanyeni wote mnaompinga hapa mkapige kuraTatizo wapiga kura ndo shida ILIYOPO sasa
Kwa hiyo ukishacheza mpira ndio kujua leadership na management ya mpira sio?only in Tanzania ndio maana soka letu haliendelei sababu mmejaa unafiki na hamjui ñini hasa mnataka.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Apumzike amekuwa mgonjwa?Malinzi apumzike..apishe wengine
Tenga na wengineo waliocheza mpira then wakawa viongozi walileta mafanikio gani tofauti na Malinzi?Sijui unazungumza vitu gani, team kubwa za huko Ulaya na South Amerika Viongozi wao wana background hipi, labda tuanzie hapo - awaleti mambo ya siasa na umangimeza na mambo ya kujuana ili washirikiane kupiga hela ndefu kwa kutumia ujanja janja tu au wewe hilo ulijui?
Unatumia nguvu nyingi sana kumtetea..kwa taarifa yako wajumbe watamlia pesa zake na atatoswa..kama kakutuma mwambie aende akaongoze mkoani mwake..
Matokeo yakitoka mje hapa kutoa mrejesho,Unatumia nguvu nyingi sana kumtetea..kwa taarifa yako wajumbe watamlia pesa zake na atatoswa..kama kakutuma mwambie aende akaongoze mkoani mwake..
Mkuu mawazo yako ni mazuri ila naomba kukuuliza unawajua wapiga kura ambao wapo madarakani kwa sasa? Unajua km malinzi ndio kaengua wote wasiompenda akaweka watu wake???Katika kile kinachoonyesha kwamba Watanzania hasa wapenda Soka / Kandanda wamechoka na Uongozi / Utawala wa sasa wa Rais wa TFF Jamal Malinzi hatimaye leo asubuhi mida ya Saa 5 Viongozi wanaotakiwa kuiongoza TFF wanachukua Fomu rasmi ili kupambana na kumtoa Malinzi madarakani.
Na ili kuonyesha kuwa huenda hawa Watu wawili wakawa ni mwiba mchungu kwa Rais wa TFF Jamal Malinzi ni kwamba wamepata baraka zote kutoka kwa Wadau wengi wa Soka nchini na hata Serikalini na kuna uwezekano mkubwa mno kwa jinsi mikakati yote ilivyopangwa huu ukawa ndiyo mwisho wa Jamal Malinzi ndani ya TFF.
Watu hao ni Mchezaji na Nahodha wa zamani wa Yanga FC, Mchambuzi mahiri wa Soka, Mdau mkubwa wa Soka na Msomi mzuri wa masuala ya Biashara na Uongozi Ndugu Ally Mayai Tembele ambaye amepangwa kugombea nafasi ya Urais wa TFF na Makamu wake inasemekana amepangwa kuwa ni Mchezaji wa zamani wa Kiungo wa Simba SC na aliyekuwa na mafanikio makubwa, Mdau mkubwa wa masuala ya Soka na Kiongozi wa zamani wa TFF Mzee Mtemi Ramadhan.
Kinachowafanya hawa Watu akina Ally Mayai na Mzee Mtemi Ramadhan wakubalike na Wadau wengi wa Soka / Mpira nchini Tanzania ( GENTAMYCINE inclusive ) ni kwamba kwanza wamecheza mpira katika Kiwango cha juu kabisa hivyo wanajua nini maana ya Soka na Maendeleo yake. Lakini pia hawa Watu wawili ni kweli kuwa mmoja wapo ni mwana Yanga na mwingine ni mwana Simba ila uzuri wao ni kwamba huwa hawana Unafiki na hawatangulizi mapenzi kwa hivyo Vilabu vyao pindi vinapokuwa na matatizo bali wao husimamia Ueledi na Ukweli hasa katika Utendaji wao.
Watoto wa mjini tunasema kwa Kauli mbiu yetu mpya isemayo “ Malinzi pisha njia wenye Mpira wao wamekuja “. Nianze tu kutoa pongezi zangu za dhati kwa hawa Wadau wangu wakubwa wa Soka Kaka yangu Ally Mayai Tembele na Mzee wangu Mtemi Ramadhan kwa kuamua kuwa Viongozi wa TFF na nina uhakika kama Wajumbe wa TFF wataacha Upopoma / Upumbavu wao basi Rais mpya wa TFF atakuwa ni Ndugu Ally Mayai Tembele na Makamu Rais mpya wa TFF ni Ndugu Mtemi Ramadhan.
Nami namalizia kwa kusema “ Malinzi pisha njia wenye mpira wao wamekuja “.
Nawasilisha.
Tenga na wengineo waliocheza mpira then wakawa viongozi walileta mafanikio gani tofauti na Malinzi?
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Na ni nani hapa mnaempigia kampeni za kumwondoa?Nani kamtaja Malinzi!!!
Mkuu mawazo yako ni mazuri ila naomba kukuuliza unawajua wapiga kura ambao wapo madarakani kwa sasa? Unajua km malinzi ndio kaengua wote wasiompenda akaweka watu wake???
Kuna utofauti mkubwa sana kwa mtu aliyesoma leadership and management anapokuja kupractise alichokisoma na yule aliyekuwa anapractise bila hata kwenda shule. Soka letu haliendelei kweli kutokana na watu kama wewe,unayempinga mtu bila hata kuuona wasifu wake.. OMBA WASIFU WA WAGOMBEA HALAFU UPIME, Umeshasikia jamaa atatoa pesa kuhakikisha anarudi,kwanini u-force kurudi na usisubiri kurudishwa kwa mambo mazuri uliyofanya na mabaya machache?????Kwa hiyo ukishacheza mpira ndio kujua leadership na management ya mpira sio?only in Tanzania ndio maana soka letu haliendelei sababu mmejaa unafiki na hamjui ñini hasa mnataka.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Malinzi tushamuona sasa hiyo ni kazi yenu kuweka wasifu wa huyo mgombea wenu mnaempigia porojo hapa.Kuna utofauti mkubwa sana kwa mtu aliyesoma leadership and management anapokuja kupractise alichokisoma na yule aliyekuwa anapractise bila hata kwenda shule. Soka letu haliendelei kweli kutokana na watu kama wewe,unayempinga mtu bila hata kuuona wasifu wake.. OMBA WASIFU WA WAGOMBEA HALAFU UPIME, Umeshasikia jamaa atatoa pesa kuhakikisha anarudi,kwanini u-force kurudi na usisubiri kurudishwa kwa mambo mazuri uliyofanya na mabaya machache?????