Leo huenda ikawa siyo siku nzuri kwa Rais wa TFF Malinzi kwani Mapacha hawa kuchukua Fomu rasmi

Nyinyi "wadau" ndio mnaharibu michezo nchini
Mdau ndio cheo au wadhifa gani kwenye mchezo?
Wadau! Wadau ukute mwanao ni mkata viuno stejini halafu unajifanya una uchungu na soka!!
Sio mwanae tuu hata yeye ni mkata viuno kwenye Casinos.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Mpira pesa. Sasa kama nyie hamna pesa mnalialia nini sasa au mnataka mkishapata huo uongozi muanze kutuibia kwanza then soka baadae?

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo ukishacheza mpira ndio kujua leadership na management ya mpira sio?only in Tanzania ndio maana soka letu haliendelei sababu mmejaa unafiki na hamjui ñini hasa mnataka.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app

Sijui unazungumza vitu gani, team kubwa za huko Ulaya na South Amerika Viongozi wao wana backgrounds zipi, labda tuanzie hapo - awaleti mambo ya siasa na umangimeza na mambo ya kujuana ili washirikiane kupiga hela ndefu kwa kutumia ujanja janja tu au wewe hilo ulijui? Hicho ndicho kinaendelea hapa kwetu ndiyo maana hatufiki mbali kimpira - we keep going in circles.
 
Tenga na wengineo waliocheza mpira then wakawa viongozi walileta mafanikio gani tofauti na Malinzi?

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mawazo yako ni mazuri ila naomba kukuuliza unawajua wapiga kura ambao wapo madarakani kwa sasa? Unajua km malinzi ndio kaengua wote wasiompenda akaweka watu wake???
 
Mkuu mawazo yako ni mazuri ila naomba kukuuliza unawajua wapiga kura ambao wapo madarakani kwa sasa? Unajua km malinzi ndio kaengua wote wasiompenda akaweka watu wake???

Mkuu ndiyo maana naona kuna haja ya Serikali kuunda tume huru kama iliyo undwa kuchunguza mchanga wenye madini - uendeshaji wa sekta ya SOKA nchini una matatizo makubwa sana Serikali hisifumbie macho kuchunguza usanii ambao unaendelea katika kukuza soka nchini - tusikubali teuzi za chombo muhimu kama TFF kiendeshwe kama mali ya ukoo, watu hao hao wanakuwa recycled as if hakuna Watanzania wengine wenye uwezo wa kuendesha chombo hiki kizalendo, kama vipi wanzishe Kampuni zao binafsi za mpira kama Azam alivyo fanya ambako wanaweza kufanya wapendalo na sio kudumza Taifa letu kimpira kupitia mgongo wa TFF.
 
Kwa hiyo ukishacheza mpira ndio kujua leadership na management ya mpira sio?only in Tanzania ndio maana soka letu haliendelei sababu mmejaa unafiki na hamjui ñini hasa mnataka.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Kuna utofauti mkubwa sana kwa mtu aliyesoma leadership and management anapokuja kupractise alichokisoma na yule aliyekuwa anapractise bila hata kwenda shule. Soka letu haliendelei kweli kutokana na watu kama wewe,unayempinga mtu bila hata kuuona wasifu wake.. OMBA WASIFU WA WAGOMBEA HALAFU UPIME, Umeshasikia jamaa atatoa pesa kuhakikisha anarudi,kwanini u-force kurudi na usisubiri kurudishwa kwa mambo mazuri uliyofanya na mabaya machache?????
 

Malinzi Out....haiwezekani mchezaji mwenye kiwango cha hali ya juu kama Nyosso alipewa adhabu ya uonevu
 
Malinzi tushamuona sasa hiyo ni kazi yenu kuweka wasifu wa huyo mgombea wenu mnaempigia porojo hapa.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…