Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Tena ilipaswa apigwe Umeme wa maisha kwa vitendo vyake vyakifirauni.
Malinzi Out....haiwezekani mchezaji mwenye kiwango cha hali ya juu kama Nyosso alipewa adhabu ya uonevu
Hahahaha nabii wa likeMe team malinzi ukweli na uniweke huru
Usirudi mpka uchaguzi upiteSidhani kama umemuelewa Komredi GENTAMYCINE vizuri.
Labda nikuibie tu siri, nyuma ya Ally Mayai wapo watu wengi sana na wenye nguvu ya ushawishi. Mmoja wapo ni Mbunge na mtoto wa Rais wa zamani.
Nitarudi baadae!
Wacha maneno weka vyetiTumefuzu U17 ya Africa na tunaandaa U17 2019 which will put us in a good position kuandaa Afcon ijayo
Ni kweli Malinzi tumeshamuona,hafai hafai hafai....hata misingi imara aliyowekewa na Tenga imemshinda. Kiongozi gani hana hata vision. Kwa muda aliokaa madarakani its wastageMalinzi tushamuona sasa hiyo ni kazi yenu kuweka wasifu wa huyo mgombea wenu mnaempigia porojo hapa.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Mimi naunga mpka mguuMimi Ni Simba damu!!
Hata komenti zangu za humu zita thibitisha Hilo lakini katika hao wagombea wote kama Ally Mayay akichukua fomu nitamuunga mkono
Acha chuki na husda lete CV na mafanikio ya uongozi wa Mayai.Ni kweli Malinzi tumeshamuona,hafai hafai hafai....hata misingi imara aliyowekewa na Tenga imemshinda. Kiongozi gani hana hata vision. Kwa muda aliokaa madarakani its wastage
Hahahaha genta kwenye ubora wakeMkuu Kuku siyo Bata.
iyo u17 yenywe tumefuzu kwa ushindi wa mezani na sio uwanjaniTumefuzu U17 ya Africa na tunaandaa U17 2019 which will put us in a good position kuandaa Afcon ijayo
Kwa Serengeti ushindi wa mezani nongwa kwa simba ni halali,kweli nyani haoni kundule.iyo u17 yenywe tumefuzu kwa ushindi wa mezani na sio uwanjani
MfyuuuHaya jikusanyeni wote mnaompinga hapa mkapige kura
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Haaaa haaaa haaaa hadi huku mkuu nimekupa like yako saaaafiiii!Hahahaha nabii wa like
Naona mmejipanga kweliMatokeo yakitoka mje hapa kutoa mrejesho,
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Hapa tupo pamoja mkuu naona kule kwingine uliteleza.Malinzi hajawahi kupata sapoti ya serikali kama Tenga lakini kajitahidi kama yeye. Malinzi hakuwa na wafadhiri wengi lakini kajitahidi sana. Malinzi kaweka Twigs Stars kwenye ramani na kachukua Afrika Mashariki. Kaanzisha academies kibao na kaifufua Serengeti yetu hadi Afcon. Sahivi yuko na under 19, bado mtu anasema sioni lolote. Huu ni unafiki mkubwa sana, mnyonge mkitaka mnyongeni lakini na haki yake pia mpeni
Na nyie timu mashudu hamjajipanga?Naona mmejipanga kweli
Sana mkuuHata Bashite angekuwa nyuma yake hapa ni Malinzi tuu.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Mayai ni lipi la maana kalifanya au kwa vile alichezea Yanga na timu ya Taifa?Hawa wengine wote ni uongo labda Ally Mayai Tembele