Leo huenda ikawa siyo siku nzuri kwa Rais wa TFF Malinzi kwani Mapacha hawa kuchukua Fomu rasmi

Leo huenda ikawa siyo siku nzuri kwa Rais wa TFF Malinzi kwani Mapacha hawa kuchukua Fomu rasmi

bf03a36022e802df2fc77a45e7b84abc.jpg

Malinzi Out....haiwezekani mchezaji mwenye kiwango cha hali ya juu kama Nyosso alipewa adhabu ya uonevu
Tena ilipaswa apigwe Umeme wa maisha kwa vitendo vyake vyakifirauni.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Malinzi hajawahi kupata sapoti ya serikali kama Tenga lakini kajitahidi kama yeye. Malinzi hakuwa na wafadhiri wengi lakini kajitahidi sana. Malinzi kaweka Twigs Stars kwenye ramani na kachukua Afrika Mashariki. Kaanzisha academies kibao na kaifufua Serengeti yetu hadi Afcon. Sahivi yuko na under 19, bado mtu anasema sioni lolote. Huu ni unafiki mkubwa sana, mnyonge mkitaka mnyongeni lakini na haki yake pia mpeni
 
Malinzi hajawahi kupata sapoti ya serikali kama Tenga lakini kajitahidi kama yeye. Malinzi hakuwa na wafadhiri wengi lakini kajitahidi sana. Malinzi kaweka Twigs Stars kwenye ramani na kachukua Afrika Mashariki. Kaanzisha academies kibao na kaifufua Serengeti yetu hadi Afcon. Sahivi yuko na under 19, bado mtu anasema sioni lolote. Huu ni unafiki mkubwa sana, mnyonge mkitaka mnyongeni lakini na haki yake pia mpeni
Hapa tupo pamoja mkuu naona kule kwingine uliteleza.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom