Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,171
- 15,760
Namshukuru Mungu toka nimepata akili na kujielewa hadi sasa nina 30+ nimekuwa naiheshimu sana hii siku...sijawahi kuona sababu ya msingi iliyonifanya nisihudhurie ibada ila kabla sijaowa kwa7bu ya ujana kuna siku moja moja nilikuwa naingia kwenye dhambi mbaya so nilikuwa sihudhurii ibada ila miaka minne sasa hakuna siku niliyokosa,vijana tujiweke karibu na Mungu kwa kumuabudu inavyopasa si'ajabu mambo mengi tunayaona magumu kwa7babu tumejitenga nae mbali.fikiria mtu mwaka mzima,mwezi mzima au wiki nzima hakuna lolote baya lililokupata na dhambi katazwa karibia zote unazifanya ila japo siku moja tu tena kwa masaa kadhaa unashindwa kumuabudu aliyekuonea huruma{mie ni Mkatoliki ibada inakuwa masaa 2 tu},tuwe na tahadhari ndugu zangu hatujui siku wala saa atakayokuja mkuu wa nyumba!