Leo hujaenda kanisani? Kwa nini?

Leo hujaenda kanisani? Kwa nini?

Namshukuru Mungu toka nimepata akili na kujielewa hadi sasa nina 30+ nimekuwa naiheshimu sana hii siku...sijawahi kuona sababu ya msingi iliyonifanya nisihudhurie ibada ila kabla sijaowa kwa7bu ya ujana kuna siku moja moja nilikuwa naingia kwenye dhambi mbaya so nilikuwa sihudhurii ibada ila miaka minne sasa hakuna siku niliyokosa,vijana tujiweke karibu na Mungu kwa kumuabudu inavyopasa si'ajabu mambo mengi tunayaona magumu kwa7babu tumejitenga nae mbali.fikiria mtu mwaka mzima,mwezi mzima au wiki nzima hakuna lolote baya lililokupata na dhambi katazwa karibia zote unazifanya ila japo siku moja tu tena kwa masaa kadhaa unashindwa kumuabudu aliyekuonea huruma{mie ni Mkatoliki ibada inakuwa masaa 2 tu},tuwe na tahadhari ndugu zangu hatujui siku wala saa atakayokuja mkuu wa nyumba!
 
Mi sienda kwavile sina sadaka, maana ukienda halafu usitoe sadaka mchungaji anakasirika sana.
 
Ujumbe wa leo kutoka kwenye somo la injili.

Mpe ya kaisari yaliyo ya kaisari, Na mpe MUNGU vilivyo vyake MUNGU.
Aiseee ujumbe murua apo padri alirudia mara mbili ya kaisari ni ya kaisairi na ya Mungu ni ya Mungu
 
Hivi ya kaisari ni yapi ayo na ya Mungu pia ni yapi? Msaada tafadhali kabla sijakomenti kwanini leo sijaenda chapel
 
Jamani kama mnavyojua kuwa Leo ni siku ya kwenda kuabudu kwa wakristo wa madhehebu yaliyo mengi. Lakini najua tupo ambao hatujaenda. Kama hujaenfa, kwa nini hujaenda church Leo?
Mimi niwe mkweli ni kuwa sijaenda kanisani Nina kama miezi mitatu hivi na sina sababu ya msingi sana, labda Ni baada ya kuona viongozi wa dini wamekuwa waswahili sana.
Nipo baa nakunywa pombe. We umeenda? Kwa nn umeenda?
 
Back
Top Bottom