Leo huyu dogo kanisikitisha sana

Hawq madogo ndio wanaotufanya tuonekane wasenga tu mbele ya mademu, mademu wengi wanapelekewa Moto feki,
Sure Mzee ukienda real bila mkongo wanakuona ww huna jambo
 
Kila mtu na maisha yake
 
Na ubaya wa mkongo wewe mtumiaji unakua sex machine.
Kama analipwa basi anastahili maana hiyo kazi yeye hapati raha yoyte zaidi kumkuna vilivyo huyo bibie.

Ni ujinga kutumia hiyo kitu aisee, saa zima unapump tu halfu wala huhisi kitu kudadeki si ujinga huo.
 
Dogo anahakikisha kitendea kazi kinakuwa imara maana ndio chanzo cha mapato yake ....
 
Kizazi cha chps
 
Wamasai wanapitisha sana mikongo kitaa😁😁😁 utasikia "hero me nakupa wewe dawa ya kuongeza ngufu" me nawaambiaga hapana masai nitakuja kuua watoto wa watu sasa hapa tu situmii hiyo ila wanalia je nikiongeza na hiyo? basi anacheeeka "haya basi nikupe ya mufuto"🤣🤣🤣
 
Umesoma vizuri jamaa alichokiandika???
 
Hajauliza maswali wao wenyewew ndo walikuwa wanapiga izo story,yeye kahoji tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…