Leo huyu dogo kanisikitisha sana

Leo huyu dogo kanisikitisha sana

Hawq madogo ndio wanaotufanya tuonekane wasenga tu mbele ya mademu, mademu wengi wanapelekewa Moto feki,
Sure Mzee ukienda real bila mkongo wanakuona ww huna jambo
 
Leo mida ya jioni hii kuna sehemu nilikaa napiga story na jamaa yangu kuna madogo kama wawili walikuja kwa huyu jamaa yangu yeye ni mfanyabiashara wa Simu walikuwa wanataka simu Kali kama ya million na ushee eti Samsung s 23 ngapi uko.
Katika story zao nikagundua awa madogo ni wanafunzi mwaka wa kwanza Chuo Kimoja Mjini hapa tukawa tunapiga story wakasema boom limetoka leo hivyo dogo kadraw hela yote kauza laptop na simu nyingine alikuwa anatumia hili aongeze na boom anunue simu.
Nikamuuliza dogo sasa ukitoa hela yote ukanunua simu utapata wapi hela ya kula majibu aliyonijibu ndo nimesikitika sana.
Dogo akinijibu unajua brother Mimi hapa Nina mademu wawili wote wananionga kwahiyo issue ya Kula sio issue Sana hapa atakulewa nalewa Kwa hela yao dogo akaanza kunisimulia Mimi bro natumia mcongo sana kwahiyo najitahidi kila siku napokutana na demu nipake mcongo na hiyo putururu hili niwakoleze mademu wanionge huyu dogo kazaliwa 2003 anasema mwaka wa 4 huu anatumia mcongo nikamuwazia huyu dogo Kwa huu mcongo Miaka 5 ijayo si atakuwa ameharibika Sana upande wake wa nguvu za Kiume na anasema bila mcongo hatoboi dah awa watoto wetu sijui wanaelekea wapi.
Kila mtu na maisha yake
 
Na ubaya wa mkongo wewe mtumiaji unakua sex machine.
Kama analipwa basi anastahili maana hiyo kazi yeye hapati raha yoyte zaidi kumkuna vilivyo huyo bibie.

Ni ujinga kutumia hiyo kitu aisee, saa zima unapump tu halfu wala huhisi kitu kudadeki si ujinga huo.
 
Dogo anahakikisha kitendea kazi kinakuwa imara maana ndio chanzo cha mapato yake ....
 
Leo mida ya jioni hii kuna sehemu nilikaa napiga story na jamaa yangu kuna madogo kama wawili walikuja kwa huyu jamaa yangu yeye ni mfanyabiashara wa Simu walikuwa wanataka simu Kali kama ya million na ushee eti Samsung s 23 ngapi uko.
Katika story zao nikagundua awa madogo ni wanafunzi mwaka wa kwanza Chuo Kimoja Mjini hapa tukawa tunapiga story wakasema boom limetoka leo hivyo dogo kadraw hela yote kauza laptop na simu nyingine alikuwa anatumia hili aongeze na boom anunue simu.
Nikamuuliza dogo sasa ukitoa hela yote ukanunua simu utapata wapi hela ya kula majibu aliyonijibu ndo nimesikitika sana.
Dogo akinijibu unajua brother Mimi hapa Nina mademu wawili wote wananionga kwahiyo issue ya Kula sio issue Sana hapa atakulewa nalewa Kwa hela yao dogo akaanza kunisimulia Mimi bro natumia mcongo sana kwahiyo najitahidi kila siku napokutana na demu nipake mcongo na hiyo putururu hili niwakoleze mademu wanionge huyu dogo kazaliwa 2003 anasema mwaka wa 4 huu anatumia mcongo nikamuwazia huyu dogo Kwa huu mcongo Miaka 5 ijayo si atakuwa ameharibika Sana upande wake wa nguvu za Kiume na anasema bila mcongo hatoboi dah awa watoto wetu sijui wanaelekea wapi.
Kizazi cha chps
 
Wamasai wanapitisha sana mikongo kitaa😁😁😁 utasikia "hero me nakupa wewe dawa ya kuongeza ngufu" me nawaambiaga hapana masai nitakuja kuua watoto wa watu sasa hapa tu situmii hiyo ila wanalia je nikiongeza na hiyo? basi anacheeeka "haya basi nikupe ya mufuto"🤣🤣🤣
 
Sasa mbona jambo la kitoto namna hiyo unalileta hapa suala lilikuwa ni kumshauri tu bwana mdogo kuwa Kuna moja na mbili Sasa ww umemdodosa zen ushauri wako kwake unauleta huku Kweli baada ya huu mwaka kuisha tunapoteza watu wenye busara na hekima tunabakiza walopokaji walopokaji kama ww
Umesoma vizuri jamaa alichokiandika???
 
Unauliza maswali wateja hivyo kwenye duka la mtu means unamfanya mteja mjinga kununua hio bidhaa

Pili, una ukoloni sana mzee umekutana na kijana humble mpaka mkafikishana huko in my day life huwezi nihoji maswali kiwaki naona hio ungeishia swali la kwanza tu na kupiga kimya
Hajauliza maswali wao wenyewew ndo walikuwa wanapiga izo story,yeye kahoji tu.
 
Back
Top Bottom