cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wengine kwa umri huo tulikuwa hatuna demu zaidi ya wese, sabuni na mlenda pori.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wengine kwa umri huo tulikuwa hatuna demu zaidi ya wese, sabuni na mlenda pori.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakukutana na aliye vurugwaa mbna angesanda mwenyewee.Unauliza maswali wateja hivyo kwenye duka la mtu means unamfanya mteja mjinga kununua hio bidhaa
Pili, una ukoloni sana mzee umekutana na kijana humble mpaka mkafikishana huko in my day life huwezi nihoji maswali kiwaki naona hio ungeishia swali la kwanza tu na kupiga kimya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahWamasai wanapitisha sana mikongo kitaa[emoji16][emoji16][emoji16] utasikia "hero me nakupa wewe dawa ya kuongeza ngufu" me nawaambiaga hapana masai nitakuja kuua watoto wa watu sasa hapa tu situmii hiyo ila wanalia je nikiongeza na hiyo? basi anacheeeka "haya basi nikupe ya mufuto"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]