Leo Iddi au kesho?

Leo Iddi au kesho?

Jana kuna Jumbe mbili zinatembea mitandaoni, ujumbe wa mapema unasema mwezi haujaonekana wa pili ambao mi nliupata sa4+ ni video clip inayosema mwezi umeonekana. So nauliza niendelee kufunga 30 au nianze kujiandaa kwenda Msikiti wa Gadafi nikaswali swala ya Ijumaa?

Nawasilisha, kazini SIENDI hata mkisema sio IDDI
Bakwata wamesema Jumamosi,na usisahau,Bakwata=Serikali

So,in reality,ni Jumamosi
 
Taarifa
1682010067127.jpg
IMG-20230420-WA0041.jpg
 
Jana kuna Jumbe mbili zinatembea mitandaoni, ujumbe wa mapema unasema mwezi haujaonekana wa pili ambao mi nliupata sa4+ ni video clip inayosema mwezi umeonekana.

So nauliza niendelee kufunga 30 au nianze kujiandaa kwenda Msikiti wa Gadafi nikaswali swala ya Ijumaa?

Nawasilisha.
NB: kazini SIENDI hata mkisema leo sio IDDI!!
Leo
 
Jana kuna Jumbe mbili zinatembea mitandaoni, ujumbe wa mapema unasema mwezi haujaonekana wa pili ambao mi nliupata sa4+ ni video clip inayosema mwezi umeonekana.

So nauliza niendelee kufunga 30 au nianze kujiandaa kwenda Msikiti wa Gadafi nikaswali swala ya Ijumaa?

Nawasilisha.
NB: kazini SIENDI hata mkisema leo sio IDDI!!
Leo
 
Back
Top Bottom