Counterbook
Senior Member
- Jun 14, 2020
- 159
- 71
Ndugai bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changamkia fursa hiyoHilo tu mkuu😂😂😂na jinsi ni mwaka mpya ngoja nitumie ilo
😁😁😁sawa bossChangamkia fursa hiyo
Wakuu heri ya mwaka mpya, naamini mmeanza mwaka mpya kwa utulivu kabisa, maake najua stress za karo tushaachana nazo tangu 2021 Dec.
Leo imeniuma sana baada ya kujikuta usiku wa leo natembea na shemeji yangu ( demu wa rafiki yangu) bila kudhamilia, ilikuwa hivi shemeji alinipigia simu jana kuwa yuko njiani anakuja Dom kutokea Dsm na hajawazia kulala logde koz anaamini shemeji yake nipo, hivyo alifikia kwangu.
Alifika majira ya saa mbili usiku nikampokelea bar moja hapa mjini tukachoma kuku tukala, baadaye tukaondoka kwenda kwangu nilimuuliza kama rafiki yangu ana taarifa akasema hapana.
Baada ya kufika home akapumzika kidogo then nikamcheshia maji ya kuoga nikampelekea bafuni, kaenda kuoga kisha kubadili nguo na kuvaa dela peke yake bila sidilia wala chupi kafikia kujimwaga kwenye sofa akajilaza kisha tukaendelea na story,
Shemeji yangu kajaliwa umbo hivyo aliweza kuonekana vizur kwenye dela alobadili, akili ilinihama kabisa sijui ni shetani gani alinikamata, sikumbuki hata tulianzaje, ila nachokumbuka nilimwambia dodoma kuna mbu sana nilimshauri tulale tu kwenye chumba changu, asilale chumba kingine, huyu shemeji nimemla usiku kucha , sikupata usingiz kutokana na mwili wake ulivyo yaani kila sehemu unayogusa ni teketeke,sijawahi ona, yaani kama nyama zinataka kudondoka, yenteyente! yaani kila tukitoka kuoga ukishika taulo kumkausha maji chuma kinasimama, katika maisha yangu sijawahi kutana na aina hii ya mwanamke, Uuwi mama yangu khaaa! Aisee unaweza kufa kabisa, Asubuhi nimemwandalia chai kanywa kisha kaondoka kwenda kwenye mambo yake wizarani na atarudi leo Dsm.
Code for gentlemen:
Usitembee na Dem/MKE wa rafiki yako hata Kama walishaachana.
kabisa yani wote watamu balaaaHakuna shemej mchungu
Sitak kukumbukakabisa yani wote watamu balaaa
Alafu unasema yenye yente simbilisi weweWakuu heri ya mwaka mpya, naamini mmeanza mwaka mpya kwa utulivu kabisa, maake najua stress za karo tushaachana nazo tangu 2021 Dec.
Leo imeniuma sana baada ya kujikuta usiku wa leo natembea na shemeji yangu ( demu wa rafiki yangu) bila kudhamilia, ilikuwa hivi shemeji alinipigia simu jana kuwa yuko njiani anakuja Dom kutokea Dsm na hajawazia kulala logde koz anaamini shemeji yake nipo, hivyo alifikia kwangu.
Alifika majira ya saa mbili usiku nikampokelea bar moja hapa mjini tukachoma kuku tukala, baadaye tukaondoka kwenda kwangu nilimuuliza kama rafiki yangu ana taarifa akasema hapana.
Baada ya kufika home akapumzika kidogo then nikamcheshia maji ya kuoga nikampelekea bafuni, kaenda kuoga kisha kubadili nguo na kuvaa dela peke yake bila sidilia wala chupi kafikia kujimwaga kwenye sofa akajilaza kisha tukaendelea na story,
Shemeji yangu kajaliwa umbo hivyo aliweza kuonekana vizur kwenye dela alobadili, akili ilinihama kabisa sijui ni shetani gani alinikamata, sikumbuki hata tulianzaje, ila nachokumbuka nilimwambia dodoma kuna mbu sana nilimshauri tulale tu kwenye chumba changu, asilale chumba kingine, huyu shemeji nimemla usiku kucha , sikupata usingiz kutokana na mwili wake ulivyo yaani kila sehemu unayogusa ni teketeke,sijawahi ona, yaani kama nyama zinataka kudondoka, yenteyente! yaani kila tukitoka kuoga ukishika taulo kumkausha maji chuma kinasimama, katika maisha yangu sijawahi kutana na aina hii ya mwanamke, Uuwi mama yangu khaaa! Aisee unaweza kufa kabisa, Asubuhi nimemwandalia chai kanywa kisha kaondoka kwenda kwenye mambo yake wizarani na atarudi leo Dsm.
hahahahahaSitak kukumbuka
Wakuu heri ya mwaka mpya, naamini mmeanza mwaka mpya kwa utulivu kabisa, maake najua stress za karo tushaachana nazo tangu 2021 Dec.
Leo imeniuma sana baada ya kujikuta usiku wa leo natembea na shemeji yangu ( demu wa rafiki yangu) bila kudhamilia, ilikuwa hivi shemeji alinipigia simu jana kuwa yuko njiani anakuja Dom kutokea Dsm na hajawazia kulala logde koz anaamini shemeji yake nipo, hivyo alifikia kwangu.
Alifika majira ya saa mbili usiku nikampokelea bar moja hapa mjini tukachoma kuku tukala, baadaye tukaondoka kwenda kwangu nilimuuliza kama rafiki yangu ana taarifa akasema hapana.
Baada ya kufika home akapumzika kidogo then nikamcheshia maji ya kuoga nikampelekea bafuni, kaenda kuoga kisha kubadili nguo na kuvaa dela peke yake bila sidilia wala chupi kafikia kujimwaga kwenye sofa akajilaza kisha tukaendelea na story,
Shemeji yangu kajaliwa umbo hivyo aliweza kuonekana vizur kwenye dela alobadili, akili ilinihama kabisa sijui ni shetani gani alinikamata, sikumbuki hata tulianzaje, ila nachokumbuka nilimwambia dodoma kuna mbu sana nilimshauri tulale tu kwenye chumba changu, asilale chumba kingine, huyu shemeji nimemla usiku kucha , sikupata usingiz kutokana na mwili wake ulivyo yaani kila sehemu unayogusa ni teketeke,sijawahi ona, yaani kama nyama zinataka kudondoka, yenteyente! yaani kila tukitoka kuoga ukishika taulo kumkausha maji chuma kinasimama, katika maisha yangu sijawahi kutana na aina hii ya mwanamke, Uuwi mama yangu khaaa! Aisee unaweza kufa kabisa, Asubuhi nimemwandalia chai kanywa kisha kaondoka kwenda kwenye mambo yake wizarani na atarudi leo Dsm.
Usimlaumu kabisa, kweny yale mambo sisi wanaume akili zinaendaga likizo.Mmeonana wote wawili mkiwa hamna akili. Angekuwepo mmoja mwenye akili hata ndogo tu ya kuvukia barabara, hilo lisingewezekana kabisa.