Leo imeniuma sana baada ya kujikuta usiku wa leo natembea na shemeji yangu


Shetani Mbaya Sana, ambaye huyo shetani Ni wewe: sio Yule Mwenye mapembe!

Huyo siyo shemeji, unawezaje kulala naye chumba kimoja bila huyo rafiki yako kujua?

Waasherati tu nyinyi!
 
Me nlivoona umesema umejikuta nkajua uliteleza ukajikuta umeangukia kwa shem wako na mparachichi umezama kunako kwa bahati mbaya eti

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
dhambi zako ushajivunia
Usidhani kitimoto ndo dhambi ila ulichofanya ni kikubwa zaid ya najisi
 
Alafu unasema yenye yente simbilisi wewe
 

Wewe haijakuuma ila umefurahia ukimla SHEM wako unafunga domo unatubu kimpango wako kimya kimya inaisha.... Ila hapa unasifia utamu w SHEM wako manake umefurahia.....!!!!
 
Vichwa vya habari vya magazeti kesho WAGOGO WAJITUTUMUA WALAZIMISHA MISAMAHA
 
Mmeonana wote wawili mkiwa hamna akili. Angekuwepo mmoja mwenye akili hata ndogo tu ya kuvukia barabara, hilo lisingewezekana kabisa.
Usimlaumu kabisa, kweny yale mambo sisi wanaume akili zinaendaga likizo.
Hapo hata ww ungekula, halaf wanawake laini ni watamu sana.
 
Huyo demu alipanga kuja kugongwa, na ukiona unakula mke wa mtu kiurahisi hivyo ujue hana maelewano na mme wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…