Kiti Chema
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,793
- 1,961
Vip hii inakuwa na file zake maana nimejaribu imegoma bila dataHayo maujanja siku hizi watu kibao wanayo hadi magroup yapo telegram ya bando la bure, ngoja na mimi nikaiupdate WireTurn yangu nianze kulamba asali japo inakauchachu kidogo.
JIONGEZEJamani mzigo mbona unagoma huu siku hizi
kwangu hii imegoma kabisaShikamoo Jamiiforums
Shikamoo wewe kaka uliyetoa elimu ya hii kitu leo nimeinjoi kutwa... ingawa ilivyofika usiku naambiwa server is fullView attachment 2328866
Imekaa vyema.View attachment 2312052View attachment 2312054
1. Pakua Thor Droidvpn HAPA na kuinstall kwenye handset yako
2. INGIA HAPA ujiregister then fanya confirmation kwenye e-mail yako ili uwe active
3.Sasa fungua ile apk uliyoinstall then Nenda setting na kuset ifuatavyo:-
R-UDP 53
L-UDP 0
UDP CONNECTION MODE-1
T-COUNT 2222
R-COUNT 03
4.Ukimaliza Go back na kulogin kwa kujaza user na pass ulizo create then click save
5.Chagua server za Thor Hacker then connect
6.Serereka for free
NB mtandao ni jukumu lako kutafuta unaokimbiza
Mbona inagoma ku install
Mkuu tunazuiaje hii reconnecting baada ya dakika kadhaaJIONGEZE
Nipe tips mdauJIONGEZE
Vera ginger. Download. Kupitia hatua number 1View attachment 2312052View attachment 2312054
1. Pakua Thor Droidvpn HAPA na kuinstall kwenye handset yako
2. INGIA HAPA ujiregister then fanya confirmation kwenye e-mail yako ili uwe active
3.Sasa fungua ile apk uliyoinstall then Nenda setting na kuset ifuatavyo:-
R-UDP 53
L-UDP 0
UDP CONNECTION MODE-1
T-COUNT 2222
R-COUNT 03
4.Ukimaliza Go back na kulogin kwa kujaza user na pass ulizo create then click save
5.Chagua server za Thor Hacker then connect
6.Serereka for free
NB mtandao ni jukumu lako kutafuta unaokimbiza
Mkuu naomba nisaidie namm asee ndgu yangu mana nais nakufa na bei za bando hapa kwenye nchi ya wapoigajiNimeona ni ujinga kulialia kila siku sasa ni mwendo wa vpn tu nilikuwa napata shida na configuration files namalizia tu kuzi sort hapa na kuna mdau nimekutana naye instagram ni mnigeria ananisaidia
Airtel leo mnaenda kupata tshs 2000 ya mwisho kwenye bando lakini bado nitakuwa hewani sana FOR FREE UNYONGE SASA BASI NYIE PANDISHENI TU HATA IWE 5000 KWA MB 50 ,WAZIRI MWENYEWE AKILALAMIKIWA ANAWASUTA WATU
Hapo no 3 sioni pa kuweka hizo settingsView attachment 2312052View attachment 2312054
1. Pakua Thor Droidvpn HAPA na kuinstall kwenye handset yako
2. INGIA HAPA ujiregister then fanya confirmation kwenye e-mail yako ili uwe active
3.Sasa fungua ile apk uliyoinstall then Nenda setting na kuset ifuatavyo:-
R-UDP 53
L-UDP 0
UDP CONNECTION MODE-1
T-COUNT 2222
R-COUNT 03
4.Ukimaliza Go back na kulogin kwa kujaza user na pass ulizo create then click save
5.Chagua server za Thor Hacker then connect
6.Serereka for free
NB mtandao ni jukumu lako kutafuta unaokimbiza
KweliKama device yako imecontain taarifu muhimu ama nyeti mno basi achana na VPN
Vipi kuhusu Vodacom?Wire tune vpn tumia TTCL hutajuta mpka YouTube inafanya kazi
Airtel tumia ha tunnel au spark vpn au http custome