Leo itakuwa mwisho kulipia bando, nimepata suluhisho la bure

Leo itakuwa mwisho kulipia bando, nimepata suluhisho la bure

Ni kweli Nina siku ya nne leo sipati net, nikilio kikuu kwangu.
SERVER ZA DROID VPN ZA USA HAZISHIKI ZOOOOTEEEE,,,,, ASEEEWW SIJUI NN TUU AU KUSEMA. KUNA MNOKO HUMU JUKWAANI KATUCHONGEA SISI WANA WA MSELELEKOOOO




IN SHORT. DROID VPN HAIKAMATIII ASEEE UNAWEZA KUWA UNA CONNECT. KILA MUDA ILA MATOKEO ZERO......
 
Nimeona ni ujinga kulialia kila siku sasa ni mwendo wa vpn tu nilikuwa napata shida na configuration files namalizia tu kuzi sort hapa na kuna mdau nimekutana naye instagram ni mnigeria ananisaidia
Tahadhari na mnigeria baba, leo anakusaidia usishangae kesho atakufyatua fedha zako zote
 
Sawa naweka sawa configuration files hapa zikikaa sawa naku inbox ndiyo maana nasema nimeweka bando la 2000 leo la mwisho, nimechoka unyonge hawa watu wananipa stress hadi nimeona ka mvi kamoja kwenye ndevu leo kumbe stress za MAFIA LA COSA NOSTRA WA BANDO
Naomba uni dm na mm inbox brother
 
Nitumieni mseleleko wowote dm maana nina laini zote hapa
 
Nyie wanoko mlo tuchongea droid yetu ya mseleleko. , K......um@a.....aaanina zenu , majinga nyieeee
Mpaka leo nimetumia 189gb na nina kula mwaka wa nne huu..tatizo lenu mkipewa mnaleta matangazo ya kujisifu.ndio mana watu wameacha kuleta tricks au hole zikipatikana ..wazee wa mtandao wanakula kichwa
Screenshot_20230726_102745.jpg
 
Back
Top Bottom